Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwa akili yako unadhani silijui hilo yaani umetapika utumbo wote pasipo kuelewa ni kwanini hiyo post nimeipost..ha haaaaaaaa

kweli chokoraa ni chokoraa tu
Iko wazi sana, akili yako ni kavu haufichi chochote, umeumbuliwa kubali tu yaishe, ujinga sio ugonjwa ni laana ba mzee.., nenda ukafanyiwe tambiko bana, haina dawa nyingine, better ignorance, u can acquire knowledge to alleviate ignorance, but foolishness and stupidity, nah., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
wacha ubishi wakishamba proof si umepata picha hapo unataka proof gani au unataka niwe juu ya hiyo express way nikiwa natembea kwa miguu..

hiyo express way ni empty hauna cha kutuambia tafuta shughuli nyingine ya kufanya
Of course it is empty
images - 2022-06-24T221717.718.jpeg
images - 2022-06-24T222132.057.jpeg
images - 2022-06-24T222035.982.jpeg
images - 2022-06-24T221820.184.jpeg
images - 2022-06-24T222751.266.jpeg
images - 2022-06-25T102824.067.jpeg
images - 2022-06-25T103028.643.jpeg
images - 2022-06-25T105119.418.jpeg
ews-2J8ARTN.jpg
 
Haya ni majinga a.k.a majitu ya kupigwa na miradi tembo mweupe, kuna limoja hapo juu eti linasema tunaionea wivu expressway nmecheka sn, eti mm na akili zangu timamu nionee wivu mradi usio na tija? Yani nchi yangu inajenga miradi yenye tija kwa wananchi na yenye thamani kuliko miradi yao alafu nionee wivu road [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya sasa barabara hilo hapo lishaanza kubomoka niambie tena kwamba naona wivu, daily dosage on flick [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2271114
watakuambia kuwa hayo ni masuala ya earth quake
It is physics bongolalas, beyond your comprehension levels
 
Hii expressway inawakosesha amani right from day one
Rub it on their faces hadi wanyooke 😂 😂 😂 😂 😂 , walisema haitajengwa kamwe, the reason we post day in day out, by end of July we go to Mombasa, Uhuru will be commissioning completed roads and bridges..., wataumia zaidi, nchi yao haisongi, miradi inajikokota, so ni wivu inawasumbua.., watu wa nchi kubwa ya city moja, CBD moja, uchumi hafifu, hawaniambii chochote😂😂😂😂😂😂😂
 
Iko wazi sana, akili yako ni kavu haufichi chochote, umeumbuliwa kubali tu yaishe, ujinga sio ugonjwa ni laana ba mzee.., nenda ukafanyiwe tambiko bana, haina dawa nyingine, better ignorance, u can acquire knowledge to alleviate ignorance, but foolishness and stupidity, nah., [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
bange unazovuta achana nazo mzee zimekukataa totally
 
Back
Top Bottom