7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,067
Mna maneno mengi ya misamiati ya kiingereza mkidhani kwamba ndio utaalamu kumbe mnafuga upumbavu, hayo majengo yenu ambayo yemekuwa yakiporomoka unayazungumziaje? Hata kama ni battle kubali kushauriwa, nchi yenu iko hovyo sana kwenye usimamizi wa miradi, mnafanya below standard na kuhatarisha maisha ya watu halafu mnakuja hapa kutuletea ngonjera.Elevated roads are so many in Nairobi. Tulianza kuziona wakati bado zilikuwa ndoto huko kwenu. Umewahi sikia hata moja imeanguka? Mnawashwa sana vilaza [emoji23] [emoji23]