Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee wa kuumizwa na ma slums ya Kenya upo?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nipo kijana wa Tandale. Habari ya Dar uswazini? Nyumba yako ya gebo na bati lililoliwa na mchwa ikoje? Yafaa uibomoe ujenge ya maana ndugu
 
Brands za bongo kwenye ubora wake 👇 hawa Afroil wamefungua maduka yao ya misosi AFROMART, juzi wakati natokea kahama nilipishana nayo kadhaa njiani
afro-pic-data.jpg
afroil-set.jpg
 
Slums zetu ndio dreamhouses zao [emoji23]
Ile siku utanionesha mazingira kama haya bongo ndio siku naondoka jamiiforums, mnaumizwa na ma slums yaliyotapakaa Kenya nzima na kuyaondoa hamuwezi mana katika kila nyumba moja ya tajiri Kenya juwa kwamba kuna slums 1000.
tapatalk_1594833465139.jpg
tapatalk_1594917749874.jpg
tapatalk_1596226799872.jpg
Screenshot_2019-12-13-18-15-58.jpg
 
Unasema sijawahi piga picha na mkono wangu and at the same time unasema kuna pichangu niliweka huku. Assuming ilikuwa ni yangu, sasa niliipiga kutumia nini? Miguu?

And then fuatilia mjadala bongolala, we were talking about a totally different thing
Sema suu au jikune nikuwekee picha yako, unabisha? Wewe sema sahizi niiweke [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bongolala, hizi vitu zote umetaja are summed up in something called Human Development Index. Last time I checked, tulikuwa tunabembea mbele yenu kama kawa. Next?!
Wewe mkalee hamtawahi kuwa mbele ya Tz labda dunia iumbwe upya, yn mpk leo mnapambana na njaa alafu muizidi Tz kwa lipi kwa mfano?
 
Sema suu au jikune nikuwekee picha yako, unabisha? Wewe sema sahizi niiweke [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Cc Mkalee [emoji3516][emoji3516][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
haya basi, ndo hio link ya Los Angeles Freeway System....


nb: but atleast kenya tuko mahali. sio kama nyinyi bado mko zero point zero! kwa huu sekta..

LA Freeway system.!👇🏽 Aerial view of the 110 and 105 freeway interchange ramps and bridges south of downtown los angeles in southern california.
Uwache kujisahau we mbwa kwa world infrastructure sisi ndio kinara hapa EA sio maduara munaweka then you here bragging ati at least muko mahali 🤣🤣🤣 bitch .. hii ni LA Gerald Desmond bridge 👇
Gerald_DesmondBridge9-20-22.jpg
and this is Tanzanite Bridge in DAR 👇
moizhusein_1643904808031301.jpg
malembosimbano_1644415220213431.jpg
and this is Kigamboni bridge 👇
maxresdefault.jpg
kig12.jpg
sasa ni nani Kati yetu, nyinyi mungiki na sie nyupo nyuma ya muda, mother fantas.?
 
Back
Top Bottom