Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji848] sasa unataka kusema unajua nyeri kuniliko? Do you know which part of Kenya come from?
Bro wacha kudanganya watu hapa jamii forums kwamba umetembea Kenya. If you desire to come to Kenya I can host you in Nairobi for free and take you around town.
Acha upuuzi I dont entertain mediocre arguments.
 
watu wa kudandia helicopter lazma wawekewe fence! Akili yao wanaijua wenyewe wanaweza taka kudandia racing car!
Hawa watu wana dhiki sana wanadandia mpaka ndege hadi ulaya. Kudandia Helicopters na racing cars ni vitu vya kawaida kwao.
 
Screenshot_2022-06-23-21-54-45.png
 
Your police with dirty white uniforms are hungry, frustrated, and underpaid. Kuharass Wakenya ni njia yao ya kuongeza mapato.
Bila pesa ya Wakenya ya biashara na utalii, mngekuwa kama Burundi tu.

I know for a fact utalii wa Arusha na surroundings unategemea Wakenya at least 85%.
Muhimu hapa ni kwamba tunawanyanyasa na kuwatesa ili msifikirie kuja Tanzania, kutokana na shida na njaa zenu, malazimisha kuja na mumeamua kukubaliana na mateso mnayopata. Kumbuka Tanzania ndio inaongoza Afrika kwa wakenya kutuma "remittances" Kenya, bila Tanzania wakenya hamuwezi kusaidia familia zenu nyumbani

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mkenya ataishi Tz na aiponde ukiona hivyo huyo hajawahi fika Tz, si unaona KENPAULITE anaijua Tz vzr na huwezi kumsikia akiiponda, hata akiponda unaona kabisa co kutoka moyoni, ila kuna watanzania wamefika Kenya na hawataki kabisa kuisikia.
Sasa mbona unashikwa na nyege kwa vitu za Kawaida? Kwani mtu kusema barabara iko na street lights ni big deal sana kwako! Inferiority complex itawaua mibongolaa
 
Hujawahi kupiga picha kwa mkono wako hata siku moja zaidi ya ile uliyojipiga mwenyewe, au nikuwekee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unasema sijawahi piga picha na mkono wangu and at the same time unasema kuna pichangu niliweka huku. Assuming ilikuwa ni yangu, sasa niliipiga kutumia nini? Miguu?

And then fuatilia mjadala bongolala, we were talking about a totally different thing
 
Tunasoma namba kwenye nn? Na sisi tuna njaa siku hizi? Je kuna corruption iliyopitiliza? Je raia wetu wanaishi kama mbwa kama huko kwenu? Au na sisi Watz tumekuwa watumwa ndani ya nchi yetu kama Kenya? Au 90% ya wakazi wa Dar wanaishi kwenye slums kama ka Nairobi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bongolala, hizi vitu zote umetaja are summed up in something called Human Development Index. Last time I checked, tulikuwa tunabembea mbele yenu kama kawa. Next?!
 
Back
Top Bottom