Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

[emoji23][emoji23][emoji817]
Your police with dirty white uniforms are hungry, frustrated, and underpaid. Kuharass Wakenya ni njia yao ya kuongeza mapato.
Bila pesa ya Wakenya ya biashara na utalii, mngekuwa kama Burundi tu.

I know for a fact utalii wa Arusha na surroundings unategemea Wakenya at least 85%.
 
New artcaffe in Naivasha
IMG_195420_23622.jpeg
IMG_195352_23622.jpeg
IMG_195410_23622.jpeg
IMG_195404_23622.jpeg
IMG_195358_23622.jpeg
IMG_195341_23622.jpeg
IMG_195335_23622.jpeg
IMG_195330_23622.jpeg
IMG_195323_23622.jpeg
 
So hizo Tecno wanauzia wakenya? [emoji23]
Mzee wa kuumizwa na ma slums ya Kenya upo?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
A Burundian experiencing the most developed City in East and central Africa., "...it must be a first world.." at 5:39 [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Si ndiyo hapa [emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220616-012132.jpg
Screenshot_20220616-011036.jpg
Screenshot_20220616-005116.jpg
 
Huyu waziri mkuu wenu huwa amechanganyikiwa sana. Sikiliza dakika 2:53 eti anasema Tanzania imepakana na nchi saba. Yaani Waziri mkuu mzima wa nchi yenu hajui kwamba Tanzania imepakana na nchi nane? [emoji28] [emoji1787]
Sasa hapo unashangaa nini? Hapo kaitoa Kenya sio jirani yetu.
 
Hizi chuki zako zingekuwa catalyst ya kuwezesha Tanzanian kuipiku Kenya hapo tungekuwa na wasiwasi. Lakini kama bado mnasoma number yetu then keep hating man [emoji23]
Tunasoma namba kwenye nn? Na sisi tuna njaa siku hizi? Je kuna corruption iliyopitiliza? Je raia wetu wanaishi kama mbwa kama huko kwenu? Au na sisi Watz tumekuwa watumwa ndani ya nchi yetu kama Kenya? Au 90% ya wakazi wa Dar wanaishi kwenye slums kama ka Nairobi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Some of them even took photos of their hands just to prove a point. Very funny the extent to which some people take certain issues
Hujawahi kupiga picha kwa mkono wako hata siku moja zaidi ya ile uliyojipiga mwenyewe, au nikuwekee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
I was not aware that SAA became bankrupt. They have lost 41 planes? The airline business is very difficult and yet our neighbours to the South are pouring hundreds of millions of dollars in buying new planes. It will all go burst for them.
Kwa Tz hakuna biashara utafanya upate loss labda usiwe serious.
 
Back
Top Bottom