joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Kweli huwezi kulinganisha na sababu ipo wazi kwamba SA ilijikomboa kutoka kwenye mfump kandamizi in 1994 wakati Kenya ni 1963, hata hivyo Kuna juhudi kubwa Sana zinazofanyika kupunguza hiyo tofauti, likiwemo suala la kuchukua ardhi na migodi toka kwa wachache na kuvikabidhi serikali.dyfre upo sahihi. South Africa is one of the most unequal societies in the world. Huwezi kucompare inequality ya SA na ya Kenya. South Africa is usually regarded as the most unequal country in the world. The higher the gini coefficient, the more unequal a country is. Kenya's gini coefficient of 0.40 is moderate. South Africa's gini coefficient is 0.61 which is pretty high.
Cc joto la jiwe
Kenya kwa Sasa ni miaka 50 tangu mlipojikomboa, hakuna juhudi zozote za kurekebisha suala la ardhi, kilichofanyika Kenya baada ya 1963 ni "politician" kugawana umiliki wa ardhi na wazungu waliokuwepo( Kenya not yetu uhuru, by: J.Odinga).
Kenya inafuatia nyuma ya South Africa katika orodha za Nchi zenye gap kubwa la kipato Kati ya masikini na tajiri, hiyo ndiyo "legacy" ya uchumi wa kibepari
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

