dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
***'watu walipiga' as in....?Na hata hivyo watu walipiga sana kwenye huo mradi, huyu mkuu wa mkoa anataka CAG akague, iweje soko kuu mwanza linajengwa chini ya 25b na ni kubwa lina parking tena ni underground, mall imejengwa kwa kama 80b