Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee wa kujifurahisha hongera
Ukweli unauma, nyie wenyewe mmejifumania, Kila kitu mmeweka wazi dunia itazame maneno mengi wacha, mkificha, mzungu anawamulika kupitia google earth., Vumilia tu, uongo wenu ulifika mwisho.😂😂😂😂
 
Wanasema hatukuli Kuku lakini KFC zinafunguliwa kwa our estates kila siku.

Image
Hii outlet itakuwa inalisha the +57 mln Wakunya sio?
 
Ukweli unauma, nyie wenyewe mmejifumania, Kila kitu mmeweka wazi dunia itazame maneno mengi wacha, mkificha, mzungu anawamulika kupitia google earth., Vumilia tu, uongo wenu ulifika mwisho.😂😂😂😂
We jamaa unajiskiaga upumbavu unaozungumza.? Kwamba unalinganisha Dar na mombasa au.? 🤣🤣🤣 Wanakula tako wewe sio bure
 
Tafadhali usiniulie mjukuu wangu, namhitaji, ata ni tag sgr yao ya umeme ikifika ili niwapongeze, tafadhali muache atulie tu😂😂😂😂😂😂😂
He he. Amesema aside nairobi, hakuna real estate kushinda Znb, laughable.
 
Fast food restaurants ni mingi sana Nairobi na kama zote wanauza chips na kuku. Dar haiwezi karibia Nairobi kwa number of fast foods, nyinyi munakula zile kuku mwitu za kuchomwa kwa streets kama Mombasa, Nairobi hizo kuku mwitu ni popular sana kwa low income areas. Middle class suburbs fast food restaurants ndio mingi.
Wewe acha ufaller tupo Nairobi kila mara, kwanza restaurants zenu hamjua hata mapishi.
Ukiagiza supu ya kuku unaletewa maji...hamjui lolote kuhusu mapishi
 
Mombasa beibee 😂😂👇View attachment 2264999kichaa mmoja anailinganisha na Dar yani hapa 👇View attachment 2265000hujiskii aibu.? We kilaza Don YF .? Tofauti yake ni peponi na matoni 🤣
Unachukua kasehenu kujiliwaza tu., Dar ukubwa wake na upana tunajua ni nini., Town coverage wachana nayo, Mombasa imeilambisha sakafu., Dar ni picha ya ufukara, ni kasehenu ka CBD kanaficha aibu, so relax. Video clips, google earth, pics ziko mingi tu😂😂😂
 
Unachukua kasehenu kujikiwaza tu., Dar ukubwa wake na upana tunajua ni nini., Town coverage wachana nayo, Mombasa imeilambisha sakafu., Dar ni picha ya ufukara, ni kasehenu ka CBD kanaficha aibu, so relax. Video clips, google earth, pics ziko mingi tu😂😂😂
Hee..! We jamaa kumbe upo serious hatari sana 🤣🤣
 
He he. Amesema aside nairobi, hakuna real estate kushinda Znb, laughable.
Anajichocha tu, he is a blind patriot, ata catch mafeelings ukiendelea kumchokora, he is stupidly sentimental about Tz to engage any reason, the tone in his responses 😂😂😂😂😂,
 
Unachukua kasehenu kujikiwaza tu., Dar ukubwa wake na upana tunajua ni nini., Town coverage wachana nayo, Mombasa imeilambisha sakafu., Dar ni picha ya ufukara, ni kasehenu ka CBD kanaficha aibu, so relax. Video clips, google earth, pics ziko mingi tu😂😂😂
Oky fine for example this is East Upanga and posta 👇
storytellerbrand.tz_1646758277579643.jpg
heb onyesha huo ukubwa wa mombasa tuone and this is ilala 👇
EEC6C7A8-1746-4AF0-AC28-49D34E41DDB4.jpeg
siweki Kariakoo wala ukubwa wa upanga yote kazi kwako
 
Back
Top Bottom