Kuwapiga bado ni hobby. 🤣 🤣 🤣 Hakuna vile bongo munaweza tushinda hata tukiwa chini aje.Au imeongeza kitita kwa mshindi wa kwanza Kenyan league toka Tshs 18 mln?
Kuwapiga bado ni hobby. 🤣 🤣 🤣 Hakuna vile bongo munaweza tushinda hata tukiwa chini aje.Au imeongeza kitita kwa mshindi wa kwanza Kenyan league toka Tshs 18 mln?
Kama mbele mwanangu






Picha kali kama mbele mwananguWabongo hawajui kuchangamsha events, ebu ona comparison ya World Cup Trophy tour in Nairobi vs Dar. Yet both events zilipangwa na the same company. Kenyans are very creative and active at events, wabongo muwache ushamba.
Nairobi.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Dar es salaam![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
wako photo session lakini wote wamekasirika.mgeni amechangamka kuliko wenyeji.
![]()
![]()




Do we have a drive through restaurant in Nairobi or is this the first one in Kenya? USA zimejaa lakini Kenya I am not sure whether ziko. But this is a good sign of progress.Wanasema hatukuli Kuku lakini KFC zinafunguliwa kwa our estates kila siku.
![]()
Mkirudi mjue kabisa bingwa TPL atakuwa anapewa $1mlWashamba sana nyinyi, event yenu imeboeka, hamna creativity at all, nikama mulilazimishwa ku attend. Hatuna hara we are still sorting our football issues, tutarudi mambo ikiwa sawa.





Jaribu kumleta bingwa wa Kenya aje acheze na Namungo tu alafu uoneKuwapiga bado ni hobby.![]()
![]()
Hakuna vile bongo munaweza tushinda hata tukiwa chini aje.







Ichogal hii story inamuuma sana, anajua watu wangapi watukua wakiwatch WRCBy the way hatujawai struggle ku brand Kenya. We do it effortlessly.
![]()

Eti hawa ndio Champions wenu. 🤣 🤣 🤣 🤣 Walipigwa na Kariobangi Sharks kama burukenge in front of your fans.Jaribu kumleta bingwa wa Kenya aje acheze na Namungo tu alafu uone![]()