Drive through Ziko mingi Nairobi, wewe Tony wacha ushamba.🤣🤣🤣🤣Do we have a drive through restaurant in Nairobi or is this the first one in Kenya? USA zimejaa lakini Kenya I am not sure whether ziko. But this is a good sign of progress.
Kwa ajili ya matajiri wachache na wanasiasa but majolity of Kunyans including you hamli kuku.Wanasema hatukuli Kuku lakini KFC zinafunguliwa kwa our estates kila siku.
![]()
Hahaha. Sawa thanks kwa kunitoa ushamba. Mimi bado sijaziona.Drive through Ziko mingi Nairobi, wewe Tony wacha ushamba.🤣🤣🤣🤣
![]()
![]()
Upembuzi yakinifu umeanza sehemu za Mbeya ewe Mungiki.Kwa nini Malazy wa South hawaja-invest kwa geothermal power?
Umeme wa geothermal ni umeme mzuri sana kwa sababu upo constant kila wakati. Wakati wa usiku hakuna solar power, wakati hakuna upepo hakuna windpower, wakati wa kiangazi hydropower inapungua ila geothermal haipungui kwa lolote lile. Yaani lipo constant bila mchezo. Availability ya geothermal power ipo very high 24-7-365.
Leta evidence.Upembuzi yakinifu umeanza sehemu za Mbeya ewe Mungiki.
Very soon project ita take over
Tambe Ndio nani? Kwenye suala la soka kwa ss upande wa vilabu sina haja ya kuongelea Kenya, Tz kwa ss tunaongelea ligi kubwa kama champions league, usitegemee bingwa wa Tanzania akaja kucheza ligi za kipumbavu mshindi anapewa milioni 10 alafu aweke kikosi kizima, nyinyi kama mna makende pelekeni timu zenu champions na mjitahidi mfike makundi alafu mkutane na ma giants wa Tz muone. By the way Tz inapeleka timu 4 mashindano makubwa, nyie mnapeleka ngpEti hawa ndio Champions wenu.![]()
![]()
![]()
Walipigwa na Kariobangi Sharks kama burukenge in front of your fans.
![]()










Maneno yangu yamekuumiza mpaka sasa. Heal my frenThere's no any single City in Kenya kando ya Nairobi which can battle Zanzibar when it comes to real estate development
Fast food restaurants ni mingi sana Nairobi na kama zote wanauza chips na kuku. Dar haiwezi karibia Nairobi kwa number of fast foods, nyinyi munakula zile kuku mwitu za kuchomwa kwa streets kama Mombasa, Nairobi hizo kuku mwitu ni popular sana kwa low income areas. Middle class suburbs fast food restaurants ndio mingi.Kwa ajili ya matajiri wachache na wanasiasa but majolity of Kunyans including you hamli kuku.