Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Nilitaka kumuonyesha hiyo Kisumu anayoipigia kifua, haiwezani hata na DodomaThat means Tz ni the most urbanized country in East Africa.
Nilitaka kumuonyesha hiyo Kisumu anayoipigia kifua, haiwezani hata na DodomaThat means Tz ni the most urbanized country in East Africa.
Kabul🤣🤣🤣Bado sana, pambaneni aisee.View attachment 2262222
Dodoma huwezi fananisha na vijiji, Kenya ni ka Nairobi pekee kwingine kote ni ushuzi mtupu.Nilitaka kumuonyesha hiyo Kisumu anayoipigia kifua, haiwezani hata na Dodoma
Wataweza wapi hao wazee wa maneno maneno na kejeliKuna mmoja alitaka battle ya Dom vs Konza nikamwambia tuanze kakimbia![]()
Kwa sasa hivi watanzania hatuna ujanja chini ya huyu mpumbavuu tuliyenaye uchumi wa ethiopia unatazamiwa kukuwa kwa asilimia zaidi ya 10% wakati wa tz kwa sasa uchumi wetu unakwenda kukua kwa asilimia 2% au 3% tu. Japokuwa tupo kwenye huu uzi ila kiukweli hakuna chochote cha maana kinacho fanyika tz ...zaidi ya kumalizia kifisadi miradi aliyo acha jpm basi.kwa dar hakuna barabara yoyote mpya inayo jengwa wala kuboreshwa .Wakati TRA ilimiss revenue target yake by around $2b,
View attachment 2262078
KRA inatarajia kupitisha target yake by more than $1.4b
![]()
KRA to exceed tax target by record Sh140bn revenue
KRA expects to beat its initial revenue collection target for the current fiscal year by up to Sh140 billion.www.businessdailyafrica.com
Bado sana, usijaribu hii battle ya concrete jungle utaumia.Kabul![]()
DuuhhDodoma imeparara sana ni vumbi tu, sasa leta real estate ya Mwanza tuone.![]()
Kisumu kiboko yao.
![]()












Dar ni low budget Bangladesh 🤣 🤣 🤣 🤣Bado sana, usijaribu hii battle ya concrete jungle utaumia.View attachment 2262224
We jamaa hiki ni nini unachoonyesha chenye ni above Dom levels.? 😂😂😂 CBD.?Dodoma imeparara sana ni vumbi tu, sasa leta real estate ya Mwanza tuone. 🤣🤣🤣🤣
Kisumu kiboko yao.
![]()
Dodoma imeparara, nyumba tudogo zinafana na tea estates. 🤣 🤣 🤣We jamaa hiki ni nini unachoonyesha chenye ni above Dom levels.? 😂😂😂 CBD.?
Dar ni low budget Bangladesh 🤣 🤣 🤣 🤣
![]()
Unatafuta gea ya kutokea.? 😂😂😂 Hapa huchomoki sister .. Kisumu haiwezani hata na current state ya DODOMA, sitaki niseme future lahasha uko utakufa bureDodoma imeparara, nyumba tudogo zinafana na tea estates. 🤣 🤣 🤣
Hiyo CBD ina tofauti gani na hii, tena bora hiyo ya Bangladesh kuliko hiiDar ni low budget Bangladesh![]()
![]()
![]()
![]()
![]()





Kilimanjaro ni other different levels
















Low budget bangladesh.🤣🤣🤣