Cheki mwamba kapanda juu ya tairi.
Cheki mwamba kapanda juu ya tairi.
Tena iko moja tuu KICCYani mpaka sasa ndio mnajenga Conference center mnashindwa mpaka na arusha,dodoma au mbeya? Kwahyo kenya nzima ni Nairobi tu ndio kuna conference centers yaani inasikitisha sana
Hakuna Eurowagon Turkey kampuni iko Poland.Habari ya Jan 27,2022
Walitumia £26m
Habari ya Feb 9,2022
Kumbe walielezea mkataba wa kwanza..
MD anasema zinatoka Germany, hii kampuni wanaandika ni ya Turkey..mtandaoni hii kampuni ni ya kutoka Poland.. which is which
View attachment 2262072![]()
Heb toka kwenye huo usingiz mzito uliolala utajikojolea..I swear before God that zunguka tanganyika yote from, darslam, mwanza, arusha, tanga, mbeya, dodoma, iringa, morogoro, moshi, kigoma, lindi, geita, sumbawanga, shinyanga.... zunguka tz yote.! hautapata streets safi kama hizi za kisumu.
nb: kisumu na only kigali in east africa ni mandugu kwa usafi.!
kisumu clean and smart cityView attachment 2262086View attachment 2262088View attachment 2262090View attachment 2262091View attachment 2262093View attachment 2262094View attachment 2262095View attachment 2262096View attachment 2262097View attachment 2262099View attachment 2262103View attachment 2262104View attachment 2262105View attachment 2262106View attachment 2262111View attachment 2262112View attachment 2262114View attachment 2262116View attachment 2262118View attachment 2262119View attachment 2262121View attachment 2262122
Siku hizi bendera ya Tanzania ni white?Wacha maneno mengi hapa weka vyuma kama hivi Kenya nitoke JF sasa hivi. Silali nakusubiria nitokeView attachment 2262133View attachment 2262134
town gani hii mwathandan
Hapo ni roysambutown gani hii mwathandan
Asante Kwa kuiba mapicha, the first ship belong to Parkistans navy while the second ship belongs to Spanish Navy. Next time try to use Tanzanian ships badala ya kuiba za nchi zingine.Wacha maneno mengi hapa weka vyuma kama hivi Kenya nitoke JF sasa hivi. Silali nakusubiria nitokeView attachment 2262133View attachment 2262134
Bado sana, mna safari ndefu.A part of Nairobi CBD![]()
Kisumu Real Estate
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hii Kisumu ni joke even kwa current state ya DOM 👇Kisumu inatesa kutesa. Kisumu residential zone.
![]()
eti sasa umereply. Na vile hio picha yako ni duni kama hizo ghorofa zinafanana na Kabul, Afghanistan. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Bado sana, mna safari ndefu.View attachment 2262206
Hii Kisumu ni joke even kwa current state ya DOM 👇View attachment 2262182View attachment 2262184dom 👇View attachment 2262186View attachment 2262187View attachment 2262188View attachment 2262190View attachment 2262191View attachment 2262194View attachment 2262208oohps another project 👇View attachment 2262209dodoma inaipiga Kisumu hands down kwenye mambo ya real estate 👇.
Bado sana.eti sasa umereply. Na vile hio picha yako ni duni kama hizo ghorofa zinafanana na Kabul, Afghanistan.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
That means Tz ni the most urbanized country in East Africa.Kisumu ni hatari sana, yani ina battle Mwanza, Moshi, Dodoma, Arusha, Mbeya and Singida at the same time.![]()
Endelea kujitia ukichaa, kazi kwako, nilitegemea ungeitetea Kisumu isidhurike kwenye mikono ya DomKisumu ni hatari sana, yani ina battle Mwanza, Moshi, Dodoma, Arusha, Mbeya and Singida at the same time. 🤣🤣🤣🤣
Bado sana, pambaneni aisee.eti sasa umereply. Na vile hio picha yako ni duni kama hizo ghorofa zinafanana na Kabul, Afghanistan.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kuna mmoja alitaka battle ya Dom vs Konza nikamwambia tuanze kakimbiaEndelea kujitia ukichaa, kazi kwako, nilitegemea ungeitetea Kisumu isidhurike kwenye mikono ya Dom




