Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uganda huwa wanatuogopa sisi ni baba yao. Wakijaribu huu upuuzi wa kuban bidhaa zetu sisi tutafunga port yetu kwa mizigo ya Uganda. Watafute mahali pengine ambapo 80% ya mizigo yao itapitia. Ujue Dar port, Mtwara port na Tanga ports hazina uwezo wa kuhandle an extra 7 million tonnes. Lazina mpanue ports zenu sana ili ziweze kuhandle hii 7 million tonnes za Uganda ambayo port ya Mombasa huwa inahandle kila mwaka.
Kama uganda anawaogopa kaichukueni migingo,nyie jamaa sijui uwa mnajionaje sijui!
 
Watanzania wapumbavu mnashabikia swala la wamasai wakati ccm inafanya uchafu kwa watz wenzetu huu ni upumbavu ulio tukuka ...wakati ccm inawaua wazanzibar kila wanapo chagua upinzani zanzibar ccm inatuma askari kuwaua haya mambo siyo ya kushabikia ..... hakuna mmasai angekataa kuama kama kungekuwa kuna maslai ya haki huu uzi kwa sasa umevamiwa na wahuni wa ccm ...sabaya kashitakiwa wakati ajamwaga hata tone moja la damu lakini tuna ambiwa ni jambazi ....sasa hawa wanao mwaga damu ya watz kwa lengo la kupora ardhi yao tuwaite watakatifu View attachment 2258027View attachment 2258028

Endelea na ujuaji.
Chuki zako na awamu ya sita imekupofua umekuwa mtu wa ovyo.
Kitu unachotakiwa kujua ni kuwa kila zama na kitabu chake...haiwezi tokea kamwe awamu fulani iongoze kama awamu fulani.
 
Tanzania's regional position

Wakati mipaka inafungwa kuna ambao walishangilia,hizi habari kwao zinaweza zisiwe njema,Jamani tutumie akili vizuri,hakuna mshindi wa kununa ama vita,huko ni kujilisha upepo,watu wafanye biashara wapate hela nyingi....hawa jamaa wanajua tukiwa nahela nyingi hatutawaliki kirahisi,unaweza kuta umaskini ni mtaji wa wanasiasa ndio maana watu wakiwa na bidii wanaogopa sana
 
wakenya wenzenu munawatuma waje huku walete fujo kwenye hifsdhi zetu au kinachowauma nyinyi kwann tanzania inafanya vzr kwenye utalii 🤣🤣 naona munaiogopa sana tanzania
Utalii gani unaongelea? Mwaka Jana kipato cha utalii Kenya ilikuwa mingi kuliko ya Tanzania. So shut up.
 
9900 lories from Tanzania translates to $118M. 3000 lories from Kenya translates to $138M. In simple terms Kenya export less but valuable products to Tanzania while Tanzania export more but cheap products to Kenya.
Nakubali,Ni afadhali tuwauzie izo cheap products until tutakapokua na uwezo wa kuziprocess kua more valuable products, kwa sasa cha muhimu tufanye biashara...

And hey,jitahidini muwekeze shambani,mnakula sana mahindi ambayo hamuyalimi,uchumi wenu bado bro, nchi ilioendelea lazima kwanza watakua wakulima hodari ndio wawekeze viwanda,kuna steps mmeruka na ni ya muhimu...

Ndio maana hadi leo Africa tunahangaika na vita ya Russia vs Ukraine kumbe ni ngano hatulimi ya kutosha,mashamba tunayo tuko apa kujimwambafai na vitu baseless
 
Usichokijua ni kwamba Wamaasai ni kitu kimoja. Usitegemee mama yenu apige Wamaasai wa Tanzania na Wamaasai wa Kenya wanyamaze.
Huyo Ledama anasema hao wamasai ni kutoka Kenya. Huku Tanzania ni tofauti, hatuwachukulii wamasai wa Kenya na Tanzania Kama wamoja, hao ni raia wa Kenya na huku Kuna Maasai wa Tanzania, Maasai wa Kenya wakiingia bila kufuata Sheria za Tanzania tunawashughulia ipasavyo Kama wakenya wengine

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Nakubali,Ni afadhali tuwauzie izo cheap products until tutakapokua na uwezo wa kuziprocess kua more valuable products, kwa sasa cha muhimu tufanye biashara...

And hey,jitahidini muwekeze shambani,mnakula sana mahindi ambayo hamuyalimi,uchumi wenu bado bro, nchi ilioendelea lazima kwanza watakua wakulima hodari ndio wawekeze viwanda,kuna steps mmeruka na ni ya muhimu...

Ndio maana hadi leo Africa tunahangaika na vita ya Russia vs Ukraine kumbe ni ngano hatulimi ya kutosha,mashamba tunayo tuko apa kujimwambafai na vitu baseless
Ndio maana raila anasema one county one factory/ product.
 
Halafu Uganda wamengoja 2 years saa hii ndio wameamua kuban bidhaa za Kenya kwa sababu ni wakati wa elections. Wanadhani Kenya haitafanya lolote, watashangaa sana.
Hadi Sasa Tanzania ndio the biggest source of Uganda imports, sababu kubwa ni Kenya kuendekeza "hostilities" na Uganda, mkiendeleza huu ujinga wenu, Uganda itaamua kuachana na ninyi katika Mambo mengi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom