Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,915
- 103,782
South Africa has gas! BTW we have LNG gas while we export LPG gas to lazy u!but u are very much ware tht kenya we don't have natural gas.. also south africa doest have, even mauritius
South Africa has gas! BTW we have LNG gas while we export LPG gas to lazy u!but u are very much ware tht kenya we don't have natural gas.. also south africa doest have, even mauritius
please please tuusan, refresh your loins with this amazing clip of 2020, op bado unaifahamu. naskia hii video ilizua hisia kali zaidi Tz, ata waTz kuikashif serikali yao jinsi kenya inapiga hatua nje ya nbi, huku tz nguvu zote zikitiliwa tu dar na dar pekee.. u can get this reactions kwenye twitter and fb, and laugh a bitter. i told u waTz mnajisumbua sana na kenya, bado hamskiiZa unatuonyesha barabara za two lanes alafu?
haya.. zidini tu kuji console hivyo, while in the real sense, kenya tuko vizuri zaidi kwa kila kitu. we are infact very peaceful.Economy while you are not at peace, any time you can be killed just because you don't belong to Kikuyu Nation
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Unasema nini wewe..haya.. zidini tu kuji console hivyo, while in the real sense, kenya tuko vizuri zaidi kwa kila kitu. we are infact very peaceful.
ata ratings zikifanywa saahivi na UN, utakuta wakenya wana kula vizuri zaidi, wananyuka vizuri zaidi, wanaishi kwenye vyumba murwa zaidi, wana matibabu bora zaidi na wana masomo bora zaidi shinda tz.. am tell u.. am rest assured.! infact we can bet for $1m
nb:
kuanzia lini tz ikaizidi kenya kwa chochote !?.. ukweli ni kwamba hakuna.! ata waTz wanajua hilo vizuri sana, ila tu kibri kawapanda, mnajifanya kukataa matokeo iliyo wazi kabisa..
Lpg in Tz is also imported. What that means is we have better lpg handling facilities at our ports than what you have in Mombasa this gives us an upper hand in re-exporting lpg to you lazy ones.but u are very much ware tht kenya we don't have natural gas.. also south africa, even mauritius and botswana yet?.... malizia wewe mwenyewe
Stop lying, ilikua ndege ya saa ngapi sartuday i prove your wrong saa hiziJuzi KQ ya usiku imekuja ikiwa na livery ambayo co ya kq na kila siku inakuja na livery ya kq which means haikuwa ndege ya Kenya
Hii imethibitisha kwamba shirika limeshajifia lina ndege 3 chakavu ambazo ndio wakunya wanakisifia humu ilihali TC ina ndege 11 brand new na nyingine 6 zinakuja![]()
Since when did business sound like a favor, badala ushukuru mkona soko Kenyabut u are very much ware tht kenya we don't have natural gas.. also south africa, even mauritius and botswana yet?.... malizia wewe mwenyewe
You mean this life where you've been using an itel L5007 forever? You guys joke a lot. This all boasting my life this my life that is just some projection.A stupid person like you, very primitive guy like you, you have none to match my life
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ambia hawa ndugu zako vilaza wapate akili.wewe una tatizo gani?
Ongea tu Kiswahili bradhee.Always react like a bi***tch , after find it hard to coprehend. dunderhead who pretend to be smart one![]()
Ndio maana nasema kujibizana na mtu kama wewe ni kupoteza wakati.🚮🚮Economy while you are not at peace, any time you can be killed just because you don't belong to Kikuyu Nation
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
You're right. Me and you have nothing to discuss. Go talk to dolts of your kind, the ichoboys, the best 7, joto la jiwe and such.By the way i dont think we will argue in anything with that childish manner of yoursdunderhead dont waste any of my time, keep your idiotism for yourself.
So you have LPG gas because you're hardworking? Una akili wewe?South Africa has gas! BTW we have LPG gas while we export LPG gas to lazy u!
HaaaaHahaha, tulishapita hiyo stage ya kuzunguka na kujali "mobile" phones. I am not your age, I used too much time to deal with mobile phones when I was at your age, after that stage, I shifted to buy cars, now I am in the village taking care of my goats, cows and chickens.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

mbona umesahau kuwafuga hata wa kenya wawili hawa hspa 


Yet we have a bigger economy than you.
You don't know my age sir. Let's not talk about it. A good phone is a necessity in the modern era. The kind of phone you're using, you're probably struggling to post stuff with it here.......and stop this nonsense about not having time, you're always on this forum everytime I log, you have too much time. You're just broke. Accept it.🚮Hahaha, tulishapita hiyo stage ya kuzunguka na kujali "mobile" phones. I am not your age, I used too much time to deal with mobile phones when I was at your age, after that stage, I shifted to buy cars, now I am in the village taking care of my goats, cows and chickens.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
If it massages your ego well, go with it.🚮🚮With thousands dying of hunger daily.
Also choléra.
Hotuba za Nyerere zimepigwa marufuku na waarabu wahalifu wanao miliki chama cha CCM , wakina Rostam azizi na wenzake
Yeah..ni kweli
Domestic routes ndo zinalipa kwa ATC hata CAG alisema hilo
Juzi nilikuwa nacheki route ya mbeya ..hamna seats kama siku 3 mfululizo
..Cha kwanza Goverement iziimarishe Domestic Airports ..
Najua Mbeya imafanyiwa Marekebisho ya runway na mwaka huu watamaliza.
Route ya Mbeya kuna siku inawateja wengi inahitaji A220s kwa masaa mengine..
Nimeshangaa kwann ATC wameagiza Q400 moja tu safari hii..kwa upeo wangu wanahitaji Q400s hata 4 nyingne ..wawe nazo 10 jumla.
Kwann nasema hivi..
Kuna route zinahitaji Kuongezewa Frequency kama .Mbeya , Kigoma..
Kuna route soon zitaongezwa Freq ..Kama Songea
Bado hawajaanza kuruka to Musoma, shinyanga, Iringa, Tanga, Pemba , Mombassa , Lake Manyara , Lindi (With LNG coming lazima utakuwa mji mkubwa..
So Q400s si chini ya 3 ilibidi ziongezewe ..
Kwa International Hyo 787 na 737 Max 9 zitazokuja zitatuweka sawa...Maana Max 9 ita free 787 kwenye route ya mumbai
Siku Russia wakipambana na USA ndio utaona hii dunia chungu