Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Nishawachoka hawa stori zimezidi
Nishawachoka hawa stori zimezidi
Punguza jazba la sivyo tutafukunyua thread zako za mapambio kwa Nigeria!Wewe huko university Nina uhakika ulikua unapata chini ya grade "D", hujui lolote kuhusu uchumi, hovyo Sana wewe.
The richest country in the World is USA with GDP of about $20trl and per capital of around $60K. While Qatar with GDP of $250B, and per Capita of $160K, almost three times of that of USA, which is the richest country among the two?.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Baba wa miundombinu Africa.
Hajui kitu huyo achana naye, hajui kwamba per capita is referred to citizens while Nominal GDP is for the country, angesema raia wa Sychelles ndio tajiri zaidi Afrika, hapo ndio angeeleweka.Malizia kwa per capital...sio kwa GDP
Yeah naelewa na Budget imeenda sector muhimu ..kama kuongeza salary, agriculture irrigation schemesNikwasababu tunajenga na reli kwa wakati mmoja imagine wangeamua kujenga barabara kwa iyo budget ya reli ...tungeweza kujenga 10,000km ndani ya miaka mitano...tena asphalt yenyewe sio surface dressing...tungeweza kujenga izo flyover hata 20 na nk...
Ila naona sio mbaya katika wizara inayohitaji kupelekewa fedha nyingi hii wizara nayo imo...
It's per Capita and not per capital.Hajui kitu huyo achana naye, hajui kwamba per capital is referred to citizens while Nominal GDP is for the country, angesema raia wa Sychelles ndio tajiri zaidi Afrika, hapo ndio angeeleweka.
Alikua akizungumzia Serikali ya Sychelles sio raia wa Sychelles waliofanya mikataba na serikali ya Kenya, kwa msingi huo, Sychelles is not one among the richest countries in Afrika, even Rwanda is richer than Sychelles.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hawa jamaa wanakera Sana sometimes, hawajui kitu ila wanajifanya wajuaji Sana.Punguza jazba la sivyo tutadukunyua thread zako za mapambio kwa Nigeria!
Wew dogo omba sana Mungu usikutwe umekufa kwa kuzidiwa wivu na mambo ya Tanzania 🤣What did that dead goat did to deserve the tag? Uhuru has done thrice what he did yet hatujampea hiyo tag.
Kwani kuongea ukweli ni wivu?Wew dogo omba sana Mungu usikutwe umekufa kwa kuzidiwa wivu na mambo ya Tanzania 🤣
Tatizo hutaki kusikia Tanzania tumejenga miundombinu mingi kushinda nyie.. huko AfDB hakuna school dropout au mazuzu kama nyie..ni watu wenye elimu zao, wanajielewa.. ndo mana wametoa tuzo kwa TanzaniaKwani kuongea ukweli ni wivu?
Kwa kigezo cha per capita basi Qatar ndio richest, ila kwa metric zote USA ni balaa...Wewe huko university Nina uhakika ulikua unapata chini ya grade "D", hujui lolote kuhusu uchumi, hovyo Sana wewe.
The richest country in the World is USA with GDP of about $20trl and per capita of around $60K. While Qatar with GDP of $250B, and per Capita of $160K, almost three times of that of USA, which is the richest country among the two?.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Barabara Tz zimejengwa kila kona nyie mmeconcentrate na miji mikubwa zaidi...What did that dead goat do to deserve the tag? Uhuru has done thrice what he did yet hatujampea hiyo tag.
Do you have Combat drone either?, Only Ethiopia has combat drones, they bought recently from Turkey to stop Tigray army from advancing to Addis.We are still waiting for drones owned by Tanzanian poor army.View attachment 2238635
Kwani iyo kichwa yako kazi yake ni kukamilisha viungo vya mwili? Sio kufikiri....walaiii kuna wajinga ila ww salute[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]What did that dead goat do to deserve the tag? Uhuru has done thrice what he did yet hatujampea hiyo tag.
Same AfDBTatizo hutaki kusikia Tanzania tumejenga miundombinu mingi kushinda nyie.. huko AfDB hakuna school dropout au mazuzu kama nyie..ni watu wenye elimu zao, wanajielewa.. ndo mana wametoa tuzo kwa Tanzania
Tanzania doesn't have both combat and surveillance drones. Kenya has surveillance drones.Do you have Combat drone either?, Only Ethiopia has combat drones, they bought recently from Turkey to stop Tigray army from advancing to Addis.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ingekuwa amejenga barabara Kila corner hamngekuwa mnang'ang'ana kuvuka 9,000km of paved roads. What Uhuru has built in 10yrs is more than what all Tanzanian Presidents have done in 65yrs.Barabara Tz zimejengwa kila kona nyie mmeconcentrate na miji mikubwa zaidi...
JPM amejenga barabara mikoa yote...hamuwez kupata tag kirahisi
Ghorofa za Morocco unazijua?na ukichunguza vizuri, utakuta hizi ghorofa za Morocco sio mirefu. ata kupata moja ya ghorofa kumi itakua ni bahati.
hivi nimewadaka najua itakua ni uchungu[emoji37][emoji37]
cc: Teargas
View attachment 2238656