Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatizo lako ww ni mtu wa kusahau sahau sn, kwahiyo meli tunazokuwa tunapost hapa za ziwa Victoria na ziwa Tanganyika ushazisahau?
Hizo meli mbili unaona kama zinatosha? Just be honest. Ongea kwa uwazi. Sio mambo ya battle hapa. Mizigo za DRC na UG ni nyingi sana na zitazidi kuongezeka kila mwaka. Ila kama unahisi hizo meli mbili kubwa zinatosha basi ni sawa. Nchi ni yenu.
 
Uwezekano wa kukusanya bilioni 894 itawezekana maana vyanzo vinaongezeka pia, zamani tulikuwa tunakusanya bilioni mia mbili na kitu.Baada ya miaka 6 tu tunaenda bilion 800 karibia 1tln. Magu aliwaamsha watu wengi sana usingizini
Miaka ya mwisho ya utawala wa JK TBL ndio ealikua wanaongoza kwa kodi...sahv game imechange
 
China watakuuzia makaratasi ambayo ukienda vitani kabla adui hajafika yanaanza kuchanika yenyewe.Hakuna kitu Bora kutoka China labda vyombo vya udongo na vile ambavyo ni western Licenceee.Wachina wanapenda kupata tu pesa cheaply
Ukiacha propaganda za Ulaya, China kwa Sasa ndiyo inaongoza duniani kwa Technology karibu katika maeneo yote, iweje hao wazungu wanakubali kununua kila kitu kutoka China, lakini likifika eneo la silaha na "security issues" Kama 5G, wanakataza mataifa mengine kushirikiana na China?. Kumbuka China ni nchi ya 3 duniani kwa nguvu za kijeshi, nchi ambayo zaidi ya 98% ya silaha zake zimetengenezwa China, hata USA hawajafika Kiwango hicho, USA na Europe wanashirikiana ktk kutengeneza silaha.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ukiacha propaganda za Ulaya, China kwa Sasa ndiyo inaongoza duniani kwa Technology karibu katika maeneo yote, iweje hao wazungu wanakubali kununua kila kitu kutoka China, lakini likifika eneo la silaha na "security issues" Kama 5G, wanakataza mataifa mengine kushirikiana na China?. Kumbuka China ni nchi ya 3 duniani kwa nguvu za kijeshi, nchi ambayo zaidi ya 98% ya silaha zake zimetengenezwa China, hata USA hawajafika Kiwango hicho, USA na Europe wanashirikiana ktk kutengeneza silaha.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Vifaa vya China vya kivita mbali na kuwa copycat ya western technology, tatizo lingine ni kwamba nyingi zao hazijakuwa tested katika vita. Angalau vifaa vya Turkey vimekuwa tested katika vita vya Libya, Azerbaijan na Ukraine na sasa tunajua fika kuwa vifaa vya Turkey ni high quality sio kwa maneno tu bali hata kwa vitendo.
 
😅
FTHwPfHWIAIsv_d.jpeg
Screenshot_20220523-155050.png
 
Not just exit even today morning almost everybody paid for the expressway the traffic shifted from the normal road to the expressway View attachment 2237752
Payment system ndio shida. Watu kulipa kwa cash ndio inaleta hili tatizo. Once most drivers acquire their ETC or their cards then there will be no traffic jam there.
 
Not just exit even today morning almost everybody paid for the expressway the traffic shifted from the normal road to the expressway View attachment 2237752
This defeats the whole purpose of expressway halafu mbaya zaidi unalipa toll expecting uwahi kazini asubuhi lakini unakutana na jam inatia hasira sana.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Punguza hasira za kitoto. Sipingi kwamba mna bandari kadhaa tayari. Mimi ninachoangalia hapa ni kwamba Tanzania bado ina potential kubwa zaidi ya kusafirisha mizigo za DRC. Otherwise mbona mnazidi kuexpand port zenu za maziwa? Mbona mnazidi kujenga meli kubwa zaidi? Obviously ni kwa sababu idadi ya mizigo nayo inazidi kuongezeka. Nipo sure mnahitaji meli kubwa kadhaa hio meli moja kubwa ziwa Victoria na moja kubwa ziwa Tanganyika hazitoshi.

DRC na UG ni nchi kubwa mzee huwezi kuniambia eti hizo meli kubwa mbili zinatosha. Kama unahisi kwamba tayari mna bandari za kutosha basi wekeni nguvu zenu kwenye kujenga meli zingine kadhaa ili kurahisisha trade kati ya hizi nchi tatu kubwa Uganda, DRC na Tanzania. Meli mbili kubwa kamwe hazitoshi.

Mwisho kabisa, Kenya haitegemei sana ziwa Victoria kusafirisha mizigo yake hadi nchi za jirani kama nyie mnavyoitegemea ziwa Victoria na Tanganyika. Najua nikisema mnastahili kununua cranes na vifaa vya kisasa pia utakasirika japo ni advise nzuri.
Sasa ujenge bandari yenye 240m berth ukose kununua crane tumia akili hata kidogo basi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hizo meli mbili unaona kama zinatosha? Just be honest. Ongea kwa uwazi. Sio mambo ya battle hapa. Mizigo za DRC na UG ni nyingi sana na zitazidi kuongezeka kila mwaka. Ila kama unahisi hizo meli mbili kubwa zinatosha basi ni sawa. Nchi ni yenu.
2 new ships for Tanganyika and 2 more ships for Victoria under construction this will supplement existing ships in both lakes some curently being refurbished

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hizo meli mbili unaona kama zinatosha? Just be honest. Ongea kwa uwazi. Sio mambo ya battle hapa. Mizigo za DRC na UG ni nyingi sana na zitazidi kuongezeka kila mwaka. Ila kama unahisi hizo meli mbili kubwa zinatosha basi ni sawa. Nchi ni yenu.
Wewe tatizo lako ni hisia tu, Uganda inaingiza mizigo kiasi gani kwa mwaka?, Eastern DRC inaingiza mizigo kiasi gani kwa mwaka?, Je uwezo wa hizo meli na njia zingine toka Tanzania kwenda Uganda na Eastern DRC uwezo wake ni kiasi gani kwa mwaka?, Kabla ya kujua hayo, huna haki ya kusema hazitoshi.

Tofauti Kati ya Kenya na Tanzania ni kwamba, huku Tanzania kabla ya kufanya mradi wowote, lazima tuanze na feasibility studies", huko kwenu miradi mingi inajengwa kwa hisia na mivutano ya kisiasa, Kama mlivyojenga bandari ya Lamu, SGR na viwanja vya ndege katika maeneo ambayo hakuna idadi kubwa ya wateja.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
This defeats the whole purpose of expressway halafu mbaya zaidi unalipa toll expecting uwahi kazini asubuhi lakini unakutana na jam inatia hasira sana.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hamjapata the point I brought this up .. Ni vile guys were saying expressway haitatumika.... But to many surprise most people prefer paying to an extent kumekua Na traffic
 
Sasa nashindwa baada ya kula kuku kila siku hio nguvu mnayopata huwa mnaipeleka wapi? Mbona bado tunawapiga kwenye michezo zote? Au hio nguvu huwa mnaipeleka kitandani tu ndio maana mumezaliana kama panya?
Unajua rate ya kuzaliana kati ya Wakenya na Watanzania? 😂😂😂

Leta primary students admission Kenya then njoo to Tanzania the difference is 350k 😂😂😂

Sasa nani wanazaliana kama panya? Bado Tanzania is two Kenyas and Kenya depends on Tanzania for everything 😂😂😂😂
 
Kind of Bus terminals in Kunyaland[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2237788
Yah open space where guys have fresh air from vehicle fumes not Tanzania in the name of impressing the daft population they make an enclosed bus park.... Who even thinks for this guys
 
Back
Top Bottom