Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usiwe mpumbavu!

Sio kwa sababu ni hupendi Tanzania basi, ndio lazima uwe mchawi wa kila kitu!

Onesha bus terminal yeyote unajua Africa unaona Buses zinatoka kuanzia saa kumi na moja (11) alfajiri nonstop mpaka saa moja (1) asubuhi! Unajua ni masaa mangapi hayo, basi zinatoka bampa-2-bampa nonstop.

Acha ujinga!
Mkunya anaweza kutaja hata London Bus Terminal!
 
Timu ya Taifa hupewa buses na serikali, na hizo buses serikali wanazo mingi sana NYS na ndio hua wanapewa, pengine serikali yenu haina buses za wizara ya michezo na vijana ju nyinyi ni nchi maskini. 🤣 🤣 🤣
Labda huko Kunyaland!
 
NYS sio jeshi, hakuna comaprison hapo we mzee.
Wewe kwa akili yako unadhani the equivalent ya National Youth service ni nani kwa Tanzania kama si Jeshi la Kujenga Taifa! Fool Usichanganye Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) for defence na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) for national services!
 
My point ni wapo wengi mpaka wameamua kuleta benki zao ili kufacilitate their exploitation in Zambia
Hata Tanzania kuna Chinese banks pia!


Japokuwa imechukuliwa na NMB Bank baada ya Liquidity issues

Kuna hii pia!
 
😃ona.., una sema 'trash' bila sababu.. najua ni uchungu sana kuona miradi kama hii ikiendelea kenya. reaction kama hii yako bila sababu, ni dhiirisho tosha kua nyie watanganyika mnauwivu ya ajabu.! 🤔🤔
 
My point ni wapo wengi mpaka wameamua kuleta benki zao ili kufacilitate their exploitation in Zambia
Wacha kumezwa na kasumba za kimagharibi ndugu zinakufanya Uwe kipofu kutoona standard chartered bank na Barclays pia ni za Muingereza na zipo miaka nenda miaka rudi ila zikiwa za mchina zina-facilitate unyonyaji!
 
Usiwe mpumbavu!

Sio kwa sababu ni hupendi Tanzania basi, ndio lazima uwe mchawi wa kila kitu!

Onesha bus terminal yeyote unajua Africa unaona Buses zinatoka kuanzia saa kumi na moja (11) alfajiri nonstop mpaka saa moja (1) asubuhi! Unajua ni masaa mangapi hayo, basi zinatoka bampa-2-bampa nonstop.

Acha ujinga!
Wewe jibu swali. Kati ya hii yenu na Oshodi bus terminal gani ndio kubwa zaidi kwa maana mnasema kwamba yenu ndio biggest in Afrika??
download (4).jpeg

download (5).jpeg

download (6).jpeg

images (1).jpeg
 
Wewe kwa akili yako unadhani the equivalent ya National Youth service ni nani kwa Tanzania kama si Jeshi la Kujenga Taifa! Fool Usichanganye Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) for defence na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) for national services!
Akili zao ni finyu Sana, wanadhani kila wanachofanya Kenya ndio duniani kote ni hivyo hivyo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Russia wapo sawa kwenye technology lakini bado hawafikii wazungu wa West
Weka ushahidi usitumie uzoefu wa kuamini Mambo uliyozoea kuyasikia kwa muda mrefu.

The fact that Russia doesn't trade widely like Europe, US, Japan and China, shouldn't make you think it is underdog

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wacha kumezwa na kasumba za kimagharibi ndugu zinakufanya Uwe kipofu kutoona standard chartered bank na Barclays pia ni za Muingereza na zipo miaka nenda miaka rudi ila zikiwa za mchina zina-facilitate unyonyaji!
Ninawashangaa Sana watanzania wanaoichukulia China kuwa ni wanyonyaji, tayari propaganda za wazungu zimeanza kufanikiwa.
China is the best friend of Africa, udhahifu wetu na kushindwa kwa Afrika katika kusimamia maisha na maendeleo yetu, tunataka kulaumu China

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom