kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
baadhi ya wale washamba,ni hawa hapa chini...
better our Kenyan made ma3 rather than being carried by this hectic BRT
Kuna mabasi kama hayo hapa kenya lakini sijawahiona mtu yeyote amejishikilia kwenye hizo hanger, na sio kutokujua ni za kazi gani lakini sheria zetu hazituluhusu kusima kwenye mabasi kama gunia za carrots
jasho inanuka kwa hiyo BRT ni mungu tu anajua....ati nisimame hivi hadi Thika for one and a half hours ......pwahahaha
haiwesmek
.
aibu kubwa sana kwa ibiria kusimama kwa matatu katika nchi ya kenya-DC (developed/developing country)
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()