Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unajua maana ya neno " Financial guarantee on PPP?, Lazima kuwepo na madhara kwa serikali ya Kenya Kama hizo pesa hazitorudi, japo serikali haitoi pesa, lakini lazima itoe " financial security"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Spare me the lecture, instead, teach your fella who mysteriously hasn't grasped the concept by now!
Ningependa kuona budget yenu ya Education amabayo ni the most important element
 
Wewe uwe unaelewa , nimesema Elimu Tanzania inasimamiwa na Wizara mbili tofauti..

Kuanzia form 5 hadi University ni Wizara ya Elimu na pia ndio hutoa miongozo ,sera,mitaala,walimu nk

Elimu ya Kindergarten,msingi hadi sekondari yaani form 4 iko chini ya Tamisemi yaani President's Office Regional Administration and Local Government.

Chukua ile 1.45 Til plus 8.77Til👇

View attachment 2232304
😅😅😅
Acha ukora bana! Hakuna kitu kinachohusika na Elimu hapo nimeona tu Mishahara,na Kama unaleta mambo ya mishahara, leta mishahara inayohusika na elimu kama kulipa waalimu, acha kuleta mishahara ya wafanyikazi wa serikali kwa jumla..
You know what the funny part is?
Hata uongeze hayo mambo yoote na uongo zoote bado haifikii bajeti ya elimu ya Kenya 😅😅
Screenshot_20220520-232411_1.jpg
Screenshot_20220520-232502_1.jpg
Screenshot_20220520-222213.png

Screenshot_20220520-233542.png
 
Matokeo yake ni kuzalisha Engineers ambao majumba huporomoka kila siku, kuzalisha wasomi wasiopata ajira, wasomi wasioweza kuja na mbinu za kujiajiri, wasomi wasioweza kutatua matatizo ya rushwa, ukabila na mipango mibovu ya nchi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sasa ukishindwa unaanza kulia...pole joh.
endelea kufabricate angalau ijae 10 tn😅
Leta hata ya afya useme ni ya elimu
Screenshot_20220520-164500.png
 
[emoji1751][emoji1751][emoji1751] coodip1 how many times will you be told that this was a PPP model? Anyway ulisema bila matusi so ill take that unauliza vizuri so jibu ni kwamba serikali ya kenya ilichangia ksh 0 kwenye hio project.
Hata irrigation schemes na dams unaweza ukajenga kwa PPP

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kwa ivo Moderna ni wendawazimu ku invest millions of dollars kwa mambo ambayo haitakuwa profitable?!! Waah hebu waambie wasifungue hicho kiwanda
Yani waache ku utilize capacity iliyopo kwenye kiwanda cha SA wamwage hela kujenga kiwanda Kenya utakuwa upuuzi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
sababu tu hiki kiwanda hakipo tanganyika.. otherwise ile kelele ingekua hapa.! jah forbid
Kwa ivo Moderna ni wendawazimu ku invest millions of dollars kwa mambo ambayo haitakuwa profitable?!! Waah hebu waambie wasifungue hicho kiwanda
😂😂Wakenya mnachekesha, South Africa imefunga viwanda vya vaccines kwa sababu hakuna wateja eti nyie mnajenga viwanda vya vaccines mtamuuzia nani? 👇

View attachment 2232160
Huyu Anafaa kutafutwa na Moderna ili awafanyie fiscal planning
 
Toa budget ya police na wengine ibaki ya defence tuu maana hata sisi ya police iko wizara ya home affairs na intelligence iko wizara nyingine

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Jaribu tena uongo ingine
Screenshot_20220521-003819.png

Mnajaribu kudanganya watu ambao wanaeza fanya utafiti mdoogo sana kupata ukweli..these are public documents!

Kwa ivo JKT inapata Tzs 386 billion wakati KDF inapata Kes 128 bn.
Screenshot_20220521-004848_2.jpg
Screenshot_20220521-004848_1.jpg
 
Hivi ndivyo ambavyo vyombo vyenu vya habari na viongozi wenu kwa muda mrefu vimekua vikiwajaza ujinga na kuwaonyesha kwamba Kenya Mambo ni mazuriri kushinda nchi zingine, mbona hamjiulizi vitu vya msingi kabisa, kwamba mbona hata maji ya kutumia hapa Nairobi ni shida, Je hata maji pia ni lazima nchi iwe na natural resources?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Huyo ni Mganda aliyeandika. Wacha upuuzi. Unapenda kuattack Kenya hata kwa mambo ambayo hayahusu Kenya. Huoni huyo mwandishi ni Mganda, hapo chini ameandika jina lake pamoja na email yake.
 
Back
Top Bottom