no way,this can't be Zanzibar....hii ni mombasa...Zanzibar haiwezi kuwa nzuri namna hii...z hotel znz
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

labda wanjala atujibu😀😀😀😀😀😀no way,this can't be Zanzibar....hii ni mombasa...Zanzibar haiwezi kuwa nzuri namna hii...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
We are talking about suburbs dude not hotelswow zanzibar kwanini unamtesa mzee wa iphone 7 bandia😀😀😀
melia znz
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mombasa kuna suburbs????😀😀😀😀 kwan hukupost hotel unafkiri sikuiona marina pointWe are talking about suburbs dude not hotels
sent from iPhone 7
vp mbona unahamisha magoli?...We are talking about suburbs dude not hotels
sent from iPhone 7

mombasa kuna suburbs????😀😀😀😀 kwan hukupost hotel unafkiri sikuiona marina point

naona kaomba tuchezee uwanja wa kichangani😀😀😀😀😀vp mbona unahamisha magoli?...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Umeanza kushindwa sasa unalazimisha tufananeWe are talking about suburbs dude not hotels
sent from iPhone 7
mbona watu wanasimama mpaka kwenye BRT na LRT mkuu?aibu kubwa sana kwa ibiria kusimama kwa matatu katika nchi ya kenya-DC (developed/developing country)
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
sisi kwetu sio jambo la kushangaza,kwasababu tayari BRT zetu zimeandaliwa mahususi kwa ajiri ya abiria kusimama.mbona watu wanasimama mpaka kwenye BRT mkuu?
abiria wanasimama mpaka kwa light rail...nenda addis ababa ujionee...hata marekani...sio jambo lakushtua ila nyie mpaka kuku, mbuzi na bata huwa mnasafirisha kwenye BRT...yaani mnachekesha kweli...sisi kwetu sio jambo la kushangaza,kwasababu tayari BRT zetu zimeandaliwa mahususi kwa ajiri ya abiria kusimama.
issue ni hawa wakenya wenzako washamba wa hapa JF,huwa wanastaajabu wanapoona picha zinazo onyesha abiria wamesimama kwenye BRT yetu.
angalau wewe kidogo unauelewa wa hili jambo,inaonyesha ulishawahi kutoka nje ya kenya na kujionea utaratibu tofauti wa town buses katika nchi nyingine.abiria wanasimama mpaka kwa light rail...nenda addis ababa ujionee...hata marekani...sio jambo lakushtua ila nyie mpaka kuku, mbuzi na bata huwa mnasafirisha kwenye BRT...yaani mnachekesha kweli...
you're confused, that beautiful building is not found in dar....it's situated in upper hill,nairobi.I love this building than all in Dar es Salaam
![]()
