Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna mabasi kama hayo hapa kenya lakini sijawahiona mtu yeyote amejishikilia kwenye hizo hanger, na sio kutokujua ni za kazi gani lakini sheria zetu hazituluhusu kusima kwenye mabasi kama gunia za carrots
bado hiyo haiondoi ukweli kwamba wakenya wengi ni washamba.
NB:
8ae4b773885d2b63b5660478277af145.jpg
fe29a6c9f5bbf04a7689cc9e19420500.jpg
 
Naombeni mnisaidie majirani zangu kule kwa #Mr.Githeri Hivi kama kunguni wameanza kuonekana kwenye matatu ...

Hivi humo kwenye vitanda vya Majirani zangu mko salama kweli?

Nauliza tu jamani

#Baada_ya_kimya_cha_muda_mrefu_hili_limenishinda_imebidi_niwaulize_jamani

#Kenya_bed_bugs
 
nganya anyday....free Wi-Fi. ...ngoma poa. ...sweet ride.....and The sWAG. .....Sisi hapana copycats.
Whats the need of BRTs in Dar while most of Dar is really impoverished and underdeveloped. ...SMH
 
Kuna mabasi kama hayo hapa kenya lakini sijawahiona mtu yeyote amejishikilia kwenye hizo hanger, na sio kutokujua ni za kazi gani lakini sheria zetu hazituluhusu kusima kwenye mabasi kama gunia za carrots


I once used one from Upperhill to Old CBD
 
jasho inanuka kwa hiyo BRT ni mungu tu anajua....ati nisimame hivi hadi Thika for one and a half hours ......pwahahaha

haiwesmek
.
mkuu, chagua moja usimame saa moja na nusu unuke jasho au uendeleee kukaa kwenye hao kunguni

#BRT_Tz
 
nganya anyday....free Wi-Fi. ...ngoma poa. ...sweet ride.....and The sWAG. .....Sisi hapana copycats.
Whats the need of BRTs in Dar while most of Dar is really impoverished and underdeveloped. ...SMH

Kama Kabul city

jasho inanuka kwa hiyo BRT ni mungu tu anajua....ati nisimame hivi hadi Thika for one and a half hours ......pwahahaha

haiwesmek
.

Lol....hii ndio kitu inapimana na Nairobi. ...SMH
cabd2f2d14e9b841a74473500d6a09e7.jpg


Spensa....hii si ni slum city of Dar

Sent using Jamii Forums mobile app
endelea tu kutoa povu....sisi hatujari...tunajua unasumbuliwa na hasira.
 
nganya anyday....free Wi-Fi. ...ngoma poa. ...sweet ride.....and The sWAG. .....Sisi hapana copycats.
Whats the need of BRTs in Dar while most of Dar is really impoverished and underdeveloped. ...SMH
The need of brt in Dar is to save time for commuters,smart transport and safe travel across the major roads in the city from outskirt to CBD easily

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The need of brt in Dar is to save time for commuters,smart transport and safe travel across the major roads in the city from outskirt to CBD easily

Sent using Jamii Forums mobile app



BRT ni kitu Kenya inaweza adopt in a week....but it has been proved uneffective in Nairobi. ....thats why tunawashow Nairobi is planning on a light rail and a subway system of transport.
 
That not modern kaka.
Tembelea US na Canada hopefully Europe pia ujionee modern car wash.
Mie ni Mtanzania mwenzio
nilimwambia asitumie maneno asiyoyajua meaning yake akakataa kusikia. mwache ajiaibishe
 
Back
Top Bottom