Mchina hataki stress kaona bora aondoke zake🤣🤣🤣🤣Inakaribia kuwa makazi ya chokoraa!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii ni kanyaga twende mwanangu
Shida ya wakenya ni wivu tu wa maendeleo,hili la malori ni mwanzo wa upuuzi wao yapo makubaliano mengine watakuja kuyavunja wenyewe.GDP ya Tanzania inafanyiwa tathmnini upya,haiingii akilini mamiradi makubwa kiasi hiki eti tuko 70 bln,huu ni uongo wa mchana.
Hata hivyo Hamchukui round ndio maana mumeanza kutapatapa..
Mkiendelea na hizi tabia mshenzi tuta act accordingly
View attachment 2223760
View attachment 2223761
View attachment 2223762
View attachment 2223763
Kenya's railway output is bigger that that of Tz, it's actually a shame that you tell us it's more that double in size 🤣🤣 now that's a perfect white elephant exampleKwa kelele mnazopiga halafu railnetwork yenyewe ni less than a half of Tanzania's! I pitty u people!!
See how stupid you are. Kwani unataka Nairobi to be served by one fire station like Dar?Hii ya cbd haina maana tena eti?😄😄😄😄View attachment 2224129
Kama uko Nairobi na wewe ni mtu muungwana, tafadhali ukiomyesha wenzenu mabaya pia waonyeshe mazuri kwa kiwango sawa, usiende tu mahala pazuri ukajienjoy na kupiga selfie ila JF watuonyesha tu mabaya, uchoyo acha mkuu😅Wakunya nilwauliza progress ya brt mkanipotezea nimeamua nije nijuonee mwenyewe asa hiyo state of the art ultra modern self driven ofice imenifurahisha tanzania tunatakiwa tuige 😁😁😁😁View attachment 2224102View attachment 2224103View attachment 2224104View attachment 2224105View attachment 2224099View attachment 2224106View attachment 2224107
Tuliza jazba lab technician ndo safari inaanza😄😄😄😄😄😄See how stupid you are. Kwani unataka Nairobi to be served by one fire station like Dar?
Ebu tuonyeshe fire station hapo Dar is slumTuliza jazba lab technician ndo safari inaanza😄😄😄😄😄😄
Ninahisi kwasababu ya usalama hawaaminiani. Anayeaminika zaidi kwenye mikataba ni Tanzania. Hata Ug hawezi kumuamini Rwanda moja kwa moja.I also once said this ..nikauliza kwann Burundi na Rwanda hawataki ku share reli kwani shida ni ipi..pia itakuwa less costful kwa Tz
You expect too much from a Tanzanian, uyo boiz ni ka ako Nai, anapitia thika rd akijibamba alafu akifika pale safari park place brt ime-stall kiasi hapo ndo anafikiria kutoa simu apige picha...so it's either ako na roho chafu kama oil aa haezi afford fancy places 😅Ebu tuonyeshe fire station hapo Dar is slum
Nyumba ya 120M gari 250M nakuelewa man...umetupiga na ki2 kizito sana
Kama uko Nairobi na wewe ni mtu muungwana, tafadhali ukiomyesha wenzenu mabaya pia waonyeshe mazuri kwa kiwango sawa, usiende tu mahala pazuri ukajienjoy na kupiga selfie ila JF watuonyesha tu mabaya, uchoyo acha mkuu😅
Wakunya nilwauliza progress ya brt mkanipotezea nimeamua nije nijuonee mwenyewe asa hiyo state of the art ultra modern self driven ofice imenifurahisha tanzania tunatakiwa tuige View attachment 2224102View attachment 2224103View attachment 2224104View attachment 2224105View attachment 2224099View attachment 2224106View attachment 2224107
Ni kweli kabisa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣You expect too much from a Tanzanian, uyo boiz ni ka ako Nai, anapitia thika rd akijibamba alafu akifika pale safari park place brt ime-stall kiasi hapo ndo anafikiria kutoa simu apige picha...so it's either ako na roho chafu kama oil aa haezi afford fancy places 😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hivyo vituo kama viosk vya juice 🤣
Hivi ndo iyo wakenya wanapost kuonyesha dosari kibao.