Ukweli ni kwamba uchumi wa Tanzania unakua kwa Kasi Sana, Manufacturing sector ya Tanzania ni miongoni mwa sector zinazokua kwa Kasi Sana, sio Kenya pekee, hata South Afrika yenyewe, hali inabadilika,wananunua bidhaa nyingi kutoka Tanzania kuliko tunavyonunua kutoka South Afrika.
Hiyo ndiyo faida ya kujenga uchumi "from within", wasomi wetu wengi wanabaki hapa nchini ili kujenga uchumi, hatukimbilii Ulaya na Marekani au nchi zingine kwenda kufanya kazi ili kutuma "remittances" nyumbani.
Hili jambo la wakenya wengi kukimbilia nchi zingine ni tatizo kubwa Sana ambalo wakenya mnapuuzia lakini litawaletea athari kubwa za kiuchumi miaka ijayo.
Kama "trend" itaendelea hivi, Kenya itaitegemea Tanzania kwa 60% ya imports zake by 2030
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app