Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Matunda ya Ziara ya Rais Kwa Museveni,vikao vya majadiliano vimeanza👇

Screenshot_20220513-102117.png
 
Huu uwanja wa Jomo Kenyatta International Airport ndiyo the most dangerous airport in the world as far as pilferage issues are concerned. Yani kuna wizi wa hatari kwenye huu uwanja, usije ukazubaa kwenye huu uwanja utakuta wamekuibia kila kitu.


Screenshot_20220513-105240.jpg
Screenshot_20220513-105302.jpg
 
Fundi kitasa Sama boy 255 Geza Ulole poleni naona ni kweli mna 57 tcf ya lng. Hio site ndio imenidanganya. Ila the East African imesema ukweli.

Currently, Tanzania has proven natural gas reserves of 57 trillion cubic feet, with at least 49.5 trillion cubic feet of these far offshore in the Indian Ocean.
Pole wewe kwa kushabikia "negatives" against Tanzania, Kama ingelikua ni watanzania ndio wanashabikia "false and negatives against Kenya" ungesema watanzania wanachukia Kenya, ila kwenu ni haki yenu na Kamwe hamna chuki dhidi ya Tanzania

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Huo mfumo wa Kenya sio CCTV tu, CCTV ni sehemu tu ya mfumo mzima, huku kwetu tulikua tunatumia mfumo huo kufuatilia speed ya mabus nchi nzima, sijui uliishia wapi, ni "Active centralized system of survilance".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Tunazihitaji uhalifu unabadilika kila siku! Leo Panya Road sijui kesho watakuwa nani! Huwa sielewi kwann wizara ya mambo ya ndani hailioni hili? Au mpaka Al Shabaab/ISIS wabutue CBD ndo watakurupuka?
 
Pole wewe kwa kushabikia "negatives" against Tanzania, Kama ingelikua no watanzania ndio wanashabikia "false and negatives against Kenya" ungesema watanzania wanachukia Kenya, ila kwenu ni haki yenu na Kamwe hamna chuki dhidi ya Tanzania

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nyie ndio mlianza kusherehekea negatives za Kenya. Wewe kwanza ndio kiongozi wa kundi hilo. Sisi tunamalizia tu.
 
Tunaziitaji uhalifu unabadilika kila siku! Leo Panya Road sijui kesho watakuwa nani! Huwa sielewi kwann wizara ya mambo ya ndani hailioni hili? Au mpaka Al Shabaab/ISIS wabutue CBD ndo watakurupuka?
Nyie wanaume wa Dar ni legelege Sana yaani mnashikwa makalio na hivyo vitoto?

Waambie waje Mkoani waone moto nyie si mnasubiria Polisi,sisi tuna vikundi vyetu vya doria usiku..

Polisi wenu hao hapo👇

Screenshot_20220513-102640.png


Screenshot_20220512-210639.png
 
Huu uwanja wa Jomo Kenyatta International Airport ndiyo the most dangerous airport in the world as far as pilferage issues are concerned. Yani kuna wizi wa hatari kwenye huu uwanja, usije ukazubaa kwenye huu uwanja utakuta wamekuibia kila kitu.


View attachment 2222606View attachment 2222607
Bado wakunya eti wanasifia kwamba is the best Airport

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hako ka 0.3 trillion cubic feet of gas kenu hakawezi kutosheleza hata nchi moja ya Western Europe hata kwa miaka miwili. Angalau Mozambique wana 100 trillion cubic feet of gas.
How do you feel now after realizing that what you post here is wrong?, Kuwa makini na Mambo unayoweka bila kuwa na uhakika nayo, yanakushushia respect yako uliyoijenga kwa muda mrefu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli wako biased kwenye investment zao wanaona ni bora wawekeze kwa wazungu wenzao au kwa watu wengine wenye ngozi nyeupe hata kama hali ya amani ni hovyo lakini sio Africa. Sisi tumekuwa kama yatima na bado kwa ujinga wetu viongozi wanatuangusha sana.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuu. Hili la Putin limewapa somo kubwa sana.
 
Nyie ndio mlianza kusherehekea negatives za Kenya. Wewe kwanza ndio kiongozi wa kundi hilo. Sisi tunamalizia tu.
Negatives" zikiwa ni kweli hizo ni sawa kushabikia, lakini zikiwa sio kweli Kama hizi, hiyo ndio inaitwa wivu na chuki. Sasa katika hili ambalo wewe mwenye umekiri kwamba sio kweli, hiyo ndio chuki na wivu dhidi ya Tanzania, na wakunya wengi mpo na wivu Sana na chuki kwa Tanzania.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom