ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
hii hapa acc ya messi haya nioneshe hakuna matata hapa manina 🤣🤣🤣🤣🤣
hii hapa acc ya messi haya nioneshe hakuna matata hapa manina 🤣🤣🤣🤣🤣
kwa kwa kwa kwa 😂😂😂 huamini macho yako leoHio ni gurudumu la pikipiki, ya watoto kuchezea.
fikeni hapa kwanza 😂😂😂
kwa kwa kwa mbona huoneshi hzo video za kenya tukaona hapo ni kenya ??😂😂😂Unapost 2 videos za Kenya eti ni Dar. 🤣 🤣 🤣
wacha kujiaibisha anaitwa Lionel Messi na sio Lionel Mercy!
kwenye haya mambo tanzania iko mbele miaka 20 iliopita mzee 🤣🤣🤣Unapost 2 videos za Kenya eti ni Dar. 🤣 🤣 🤣
Nasema hivi uzushi mlioutunga pale Kwa January ndio huo huo uzushi wa kutumia mercy badala ya Messi wa mchongo kwenye royal tourhii hapa acc ya messi haya nioneshe hakuna matata hapa manina 🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2221080
mjibu huyu kwanza hakuna kugeuza mada 😂😂😂👇👇Nasema hivi uzushi mlioutunga pale Kwa January ndio huo huo uzushi wa kutumia mercy badala ya Messi wa mchongo kwenye royal tour
wacha kujiaibisha anaitwa Lionel Messi na sio Lionel Mercy!
Fool, Hizo clips wame-indicate Funcity waterpark Kigamboni Dar es Salaam!Yes kuna fun city kenya, kwani mukipost video hua hamuangali kile munapost.
Wewe ndio unajiabisha,mimi likuwa namjibu yule tumbili kwa kuleta uzushi wa Makamba sawa na uzushi wa Messi na Royal tour..wacha kujiaibisha anaitwa Lionel Messi na sio Lionel Mercy!
😂😂😂😂 haamini macho yakeFool, Hizo clips wame-indicate Funcity waterpark Kigamboni Dar es Salaam!
Wacha uongo only first video ndio ya dar, the rest two amepost ni za funcity in Utawala, Nairobi.Fool, Hizo clips wame-indicate Funcity waterpark Kigamboni Dar es Salaam!
Kumbe mnapenda wachokoza sana watanzania hata wakikaa kimya mnataka waongee. Sasa ndio mtaona hadi matusi mapyaKuna Battle la Kenya vs Uganda linaendelea huko twitter kutumia hashtag #KenyaVsUganda. Sasa kuna Mkenya kasema kwamba Watanzania wangependa kushiriki katika hilo battle ila hawaelewi kiingereza. Nakuambia Watanzania wamekasirika kwenye comment section.
Ukraine hana ubavu huo na ulaya hauna ubavu wa kukataa kununua gesi kwa urusi ebu fuatilia vizuri, mafuta tuu yamemtoa jashoo itakua gesi ndio maana wameanza kutii amri kulipia in rubleWakati utafika Ukraine atazuia Bomba kupita kwake na Russia itabidi aanze kucheka na West wambembeleze Ukraine asikate Gas.UK ndio hana presha kabisa na mambo ya GAS na ndiye mshirika wakweli wa Ukraine.Ujeruma,Austria,Hungary ni waganga njaa na ndio wanaolialia na Gas
Aah hapo sawaHuyu alipewa mabehewa ya Mizigo tu kwenye SGR.hizo behewa za MGR sijui contract but for SGR mkataba uliotangazwa ni Behewa za mizigo
This is ur tiny funcity at UtawalaUnapost 2 videos za Kenya eti ni Dar. 🤣 🤣 🤣
Kumbe urusi wakitaka kumaliza wanafunga gesi tu . Western Europe wananchi lazima waandamane na vita inaisha . Maana ukraine wameweza kucompete kwa siraha kuta nayo yaani Marekani na wanaulaya magharibi
Watu ulaya washatii huko
This is ur tiny funcity at Utawala
Plse don't confuse that with mega funcity in Kigamboni Dar es Salaam!
Mrusi mbabe sana 😅😅Kumbe urusi wakitaka kumaliza wanafunga gesi tu . Western Europe wananchi lazima waandamane na vita inaisha . Maana ukraine wameweza kucompete kwa siraha kuta nayo yaani Marekani na wanaulaya magharibi