The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Kuna picha nyingine ana bonge la taiDaah hii siku ionaizo dressing code namna gani au jamaa Ana volunteer












Kuna picha nyingine ana bonge la taiDaah hii siku ionaizo dressing code namna gani au jamaa Ana volunteer












Hata ukiangalia usijajili wa magari unaenda kasi sana muda si mrefu tunaenda EAA kwasababu sasa hivi tuko DY something.Gari ni nyingi sana mjini...maaan last year tulienda Moshi msururu wa kufa mtu nilikua nacheka sana mwenyewe...izo forester XT ndio zimekua zinachukuliwa sana sahv...siunajua ile machine inapumua vizuri highway?imagine umepark sehemu ya kula XT Kama 7 wote vijana tu wa 30's zao...middle class inakua kwa kasi sana na sahv watu wanajua ku flex ,BMW na audi pia zinachukuliwa sana sahv watu hawataki ujinga kabisa
Hii si ndio simba wanakwea miti na ndio yenye tembo wengi au nimechanganya?Halafu hii Park haipati sana promo
China anamzidi Mjapan kwenye nguvu za kijeshi. Kama siyo ile vita kuu ya dunia kwasababu alinyimwa kuunda jeshi kubwa angekuwa mbali sana.Sasa ona madhara yake North Korea anamtisha Mjapan na jirani yake South Korea kwamba yeye ana jeshi kubwa na lenye nguvu.Lakin hadi leo Japan ni developed while China is developing..gdp per capita ya Japan ni kubwa zaidi×4 ya China...Japan imeshaendelea considering wako 125M kua na gdp la karibu 5trillions sio jambo la mchezo...hao jamaa ni matajiri balaa...Tokyo pekee yake ni tajiri kushinda any city ya wachina ,Usifanye mchezo na Japan
Miaka 35 bado anasoma na hana kazi, wenzie kwa miaka aliyonayo huwa wanakuwa wanasoma but in service, yeye hapo ana volunteer![]()


we jamaa banaHata siijui vizuriHii si ndio simba wanakwea miti na ndio yenye tembo wengi au nimechanganya?
Yule rais wa N.korea ni mtu wa hovyo sana...simuelewi anamtanulia nani kifua na hayo makombora yake nchi yenyewe ishajifia...nchi za kijinga kama zile tabu sanaChina anamzidi Mjapan kwenye nguvu za kijeshi. Kama siyo ile vita kuu ya dunia kwasababu alinyimwa kuunda jeshi kubwa angekuwa mbali sana.Sasa ona madhara yake North Korea anamtisha Mjapan na jirani yake South Korea kwamba yeye ana jeshi kubwa na lenye nguvu.
Juzi North amefyatua kombora limeangukia Japan japo halikuleta madhara. Wakasema hilo ni onyo kwa Rais mpya wa South Korea. Wanafanya hivi kwa kuwa wanajua ni washirika wa Marekani na hawan nguvu za kinyuklia.
Kwa kweli ataleta maafa mengine ni kama anataka kuanzisha vita kuvuruga dunia.Yule rais wa N.korea ni mtu wa hovyo sana...simuelewi anamtanulia nani kifua na hayo makombora yake nchi yenyewe ishajifia...nchi za kijinga kama zile tabu sana
Dude linagonga mwaka bila ya meli!
Kama ni kukosewa jinsi ya kuimbwa sawa ila siyo kuondoa verses. Wimbo umetulia sana.
Hta vi maabara vya mtaani haviwezi kuwa na mabenchi ya hivSi ulisema "the reason why am posting my private life here it's because you requested for it next time if you want me to show even my nails I won't show you" mbn ukatuonesha buti lenye mashavu na soksi zilizochokaView attachment 2219421View attachment 2219423

Lamu ni kama Kilwa kuna visiwa pia hata kama ni vidogo! Ubishi wa nini mzee? the whole archipelago ina visiwa vidogovidogo 65!Huwezi fananisha bandari ya zanzibar na lamu
Zanzibar ni kisiwa, lamu haipo kisiwani
View attachment 2216400
View attachment 2216401
View attachment 2216402
Hakuna bandari inayoitwa Bagamoyo.
Lamu ya berth moja iliyopokea meli 11 kwa mwaka mzima?Bingo.
Go build it then come compare with Lamu.
Bagamoyo imepokea ngapi?Lamu ya berth moja iliyopokea meli 11 kwa mwaka mzima?
Jamaa mwenye jina ya kichina ama jamaa wa kuforce issues ... The expressway is far from being entirely complete, once the road is launched, the lower A2 road or uhuru highway/waiyaki way/Mombasa road will be re done since it was largely destroyed during construction of the expressway. There will be re carpeting, drainage done,road markings,street lights, pavements/walkways etc... The road was top notch before interference and it's glory must reign. You don't have to believe me since you wish for the latter but unfortunately Kenyans actualize on their plans.
Bagamoyo imepokea ngapi?