Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiv bro na hizi magari tuna record kule kwenye tonnes, annual report.?
Haya magari watarekodi kwenye RoRo shipments. Na Kwa namna hiyo Kwa ukanda huu labda tunaweza kujilinganisha na SA, Rabat na Cairo tu Kwa upande wa kupokea RoRo units. Hakuna nchi ya kutufikia Kwa ukanda wetu huu Kwa Sasa. Ndio maana TPA inafikiria kuanzisha RoRo berth Tanga port pia.

General Cargo ndio zinapimwa Kwa tonnage. Japo na zenyewe pia naamini tumewapita wakunya mbali sana Kwa uhalisia wa nchi tunazohudumia.
 
Wakuu tupeane channel bhana..

Wengine tupo Kwa huu uzi na tumeparara sana kama hawa wakunya.. Tofauti tu ni kwamba angalau Bongo raha Sio kama jangwani huko Kwa hao mifugo ya jayden
umenifanya nicheke sana man...
Sasa hawa jamaa wanatuona eti hatuna maisha kama wao...mimi nacheka sana humu...alafu Watz wengi kwenye hili jamvi ni watafutaji haswaa na shule ipo...usikae kinyonge namna iyo mkuu
 
Watu wanakushangaa kijana
Sasa tuende Kwa education.

Screenshot_20220510-210909_1.jpg


Screenshot_20220510-210612_1.jpg
 
Wakati wao wanashangilia vitu vdg kama the dust and Chinese low quality owned express way cc tunazidi kuvunja records za mambo ya msingi
Gari ni nyingi sana mjini...maaan last year tulienda Moshi msururu wa kufa mtu nilikua nacheka sana mwenyewe...izo forester XT ndio zimekua zinachukuliwa sana sahv...siunajua ile machine inapumua vizuri highway?imagine umepark sehemu ya kula XT Kama 7 wote vijana tu wa 30's zao...middle class inakua kwa kasi sana na sahv watu wanajua ku flex ,BMW na audi pia zinachukuliwa sana sahv watu hawataki ujinga kabisa
 
Gari ni nyingi sana mjini...maaan last year tulienda Moshi msururu wa kufa mtu nilikua nacheka sana mwenyewe...izo forester XT ndio zimekua zinachukuliwa sana sahv...siunajua ile machine inapumua vizuri highway?imagine umepark sehemu ya kula XT Kama 7 wote vijana tu wa 30's zao...middle class inakua kwa kasi sana na sahv watu wanajua ku flex ,BMW na audi pia zinachukuliwa sana sahv watu hawataki ujinga kabisa

Bongo sasa hivi BMW 3 Series ni Nyingi zitashinda Ist Muda si mrefu. BMW 1 series pia na BMW X 1 .
 
Helicopter moja ni sh ngap?
Usikute ni bei ya range rover hizi za $ 100k ntakushangaa sana
Helicopter inayotumika Kenya sana ni Eurocopter. Ukiangalia listings za used Eurocopter zinachezea 3M USD. You can imagine what a new one costs.
 
If I say "Yes" these witches will come for my head.

View attachment 2219296

View attachment 2219297
Frankly speaking move ya Dodoma imeathiri uchumi wa Tanzania kwa kiasi kikubwa yote ni kwa sababu ilifanyika kwa ghafla na bila kujali repucations take kiuchumi.the impacts yake Dodoma imelala na Dar es Salaam imelala kwenye services delivery.Kama isingekuwa ile move ya Dodoma Dar ingekuwa inatisha sana kwa sasa.
 
Lolote linawezekana huwezi amini kama kuna nyakati Japan alikuwa juu ya China na alishawahi mnyanyasa sana mchina kijeshi lakini leo kaachwa mbali.Hii itatokea soon Tz itaibwaga Kenya
😆aah wapi.!?? mtazidi tu kutuonea pembeni.. kwa karne nyingi zijazo
 
Talking of stupidity. The most known stupid person in the world was Kinjeketile Ngwale and his bandwagons then followed by Magufuli. Don't ask me why because the reasons are known worldwide.
Those who allow only one family to dominate their politics and economy, and allow their ego to embrace yribalism as the reason for killing each other are above stupidity of this century.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom