Amari
JF-Expert Member
- Nov 16, 2021
- 974
- 2,145
Wakuu tupeane channel bhana..Japanese ni watu smart sana...sisi tutaendelea kuagiza magari kwao kwa miaka mingi sana mbele....yani wanajua wanachokifanya!! Africa jamani bado sana...
BTW naona watu sasa wameamua kuagiza magari hawataki ujinga ....watu tunakunywa weekend moja laki 2 tushindwe kujaza fozzy mafuta?
Wengine tupo Kwa huu uzi na tumeparara sana kama hawa wakunya.. Tofauti tu ni kwamba angalau Bongo raha Sio kama jangwani huko Kwa hao mifugo ya jayden