Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mchina ndio managing director we nyumbu
Mchina is the owner and the managing director is a Kenyan.

Screenshot_20220507-221050.png
 
Kwa robo tatu za mwaka huu wa fedha TRA wamekusanya trill16.69 ongezeko la trill 3.1 kutoka mwaka wa fedha ulioisha mtu anakwambia SSH hafai...Watz ni watu wa hovyo sana huwezi fanya chochote wakaappreciate
 
I'd you really want to know an economy that is rising, don't look at the big cities that have to be developed but concentrate on the interiors which were neglected and see there progress for example in Kenya we have LODWAR located in the poorest county in Kenya and was inaccessible till recently see the before and after transformation.... Incase you guys were wondering where our internal money goes we take loans for our national projects here is a sample..
BEFORE DEVELOPMENT
images - 2022-05-07T205431.391.jpeg
images - 2022-05-07T205510.673.jpeg
images - 2022-05-07T205411.505.jpeg

As you can see there was no roads or any amenities but since devolution there is a notable improvement though not the best but it's mind blowing
AFTER DEVELOPMENT
20220507_205801.jpg
20220507_210925.jpg
20220507_210855.jpg
20220507_210915.jpg

(Pictures squared from the below tweet)
Here is Kenha being proud of it knowing
"Road infrastructure development is the backbone of economic development. Weldone continental free trade area enhancement"



The poorest neglected county is now attracting investors

Some of notable investments made in the former dead county

1.Desert Rose kenya
images - 2022-05-07T211755.210.jpeg
images - 2022-05-07T211812.835.jpeg
images - 2022-05-07T211829.605.jpeg


2.Eliye Springs Resort
images - 2022-05-07T212140.169.jpeg

images - 2022-05-07T212128.320.jpeg
images - 2022-05-07T212211.941.jpeg
images - 2022-05-07T212233.029.jpeg


3.2.Ceamo Prestige Hotel
List-Of-Top-10-Best-Hotels-In-Turkana-County-1.jpg

So when I was saying improving the quality of all the 47 counties is also an expensive venture actually one of the most expensive project just that can't really be equated as one lumpsome some time back this what I ment... If the money was pumped into one mega project am sure we could also be building wonderful projects with internal money, but I wount prefer all the money to be pushed into one shiny project while the counties remain under developed so I support the finding of all the counties that a century later all major towns in the counties will be towns to rekon with
 
Kwa robo tatu za mwaka huu wa fedha TRA wamekusanya trill16.69 ongezeko la trill 3.1 kutoka mwaka wa fedha ulioisha mtu anakwambia SSH hafai...Watz ni watu wa hovyo sana huwezi fanya chochote wakaappreciate
Mkuu, watu wanacholalamika ni kupanda kwa gharama za maisha, kudhohofika kwa huduma za jamii(Umeme na zingine), kupungua kwa nidhamu za kazi maofisini, kuongezeka kwa gharama za matumizi ya serikali(safari za viongozi, seminars, na mikutano).

Kuongezeka kwa Makusanyo ya mapato ni jambo zuri Sana, lakini lazima kuendane na kupunguza mzigo kwa wananchi(Kupunguza Kodi na kuweka ruzuku ili kupunguza Bei ya mafuta kwa Sasa), au kupunguza kukopa zaidi, Sasa Kama tunakusanya zaidi, lakini bidhaa na gharama za maisha(Bei za bidhaa) nazo zinaongezeka zaidi, mikopo pia inaongezeka zaidi, wananchi wana sababu gani ya kufurahia ongezeko hilo la Makusanyo?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kama kibaki ndio tumemsahau,who that f**l anyway 😏😏😏
Hata siku moja hamtakaa mumsahau mzee baba, kwenye akili yenu na mawazo yenu bado anaishi mnajitahidi kumuongolea kwa mabaya but still he mnagonga mwamba si kwa uamsho huo alioufanya Tanzania na kwa Watanzania wote mpaka dunia nzima ilimjua.
 
Roads roads roads being built everywhere in Nairobi I wonder what Nairobi will look like in just few years ahead.... If the south guys think we will rest, we sorry while they keep showing us images of just one road we have several being constructed till we forget to keep count
 
Hiyo article aliyo screenshot yote ilikuwa hivi na hamjajiuliza tu mbona ameleta nusu.
Managing director is a Kenyan!
Head of real estate services!
View attachment 2215969
Sasa wewe ndio huna akili kuliko wote humu. Are you not aware that Palm Village Mikocheni is one of the projects developed by Ivory Tower real estate? The owner of Ivory Tower is a Chinese with Njuguna being of real estate services.
 
Back
Top Bottom