Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Diamond hajafika miaka 35, kwa mkunya wa kawaida mwenye umri mdogo hawezi kumiliki simu na wala hawezi kuingia kwenye mitandao ya kijamii cz most of the time anakuwa anasumbuliwa na njaa.
I know the idiot's age.., 32, I don't type anyhowly kama nyie.., kumbe mko hovyo tu, ki fikra na kwa ground, so mnaona an idiot like Diamond as a demigod?, wacha nikuelezee, kuna watanzania, waganda ama waganda weusi ama jamii yenye utajiri kuliko diamond kwa mbali na huwajui na hawajulikani wewe kilaza, jaribu kufikiria, kila mtu sio mwenzako kilaza 😂 😂 😂 😂
 
Ana miaka 41 huyo na hana hata kiwanja huoni ana hasira
Yaani una nizeesha kwa lazima, I can buy you and your whole clan and take care of your needs mzee, naona uko karibu kufika retire 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
I know the idiot's age.., 32, I don't type anyhowly kama nyie.., kumbe mko hovyo tu, ki fikra na kwa ground, so mnaona an idiot like Diamond as a demigod?, wacha nikuelezee, kuna watanzania, waganda ama waganda weusi ama jamii yenye utajiri kuliko diamond kwa mbali na huwajui na hawajulikani wewe kilaza, jaribu kufikiria, kila mtu sio mwenzako kilaza
Ushasema kuna...... lakini sio wewe, hata pogba ni tajiri kuliko mondy ila co wewe wala celebrities wenu wote combined
 
Poleni 007, diamond atakua kama mungu kwa hili taifa la mifukara.., jiepushe na ujinga The best 007 utaona mwangaza na kunyooka 😂 😂
1651763614972.png
 
Another fool jumps in, find something constructive to do dogo, usililie ujinga, wacha kujisumbua.
😂😂 Wewe ndio ume prove upumbavu wako leo ati unajiweka kwenye sentence moja na Diamond, we ni chizi nini.? We jamaa wanakupumulia sio bure.. upo humu 24/7 unabishana ujinga eti ndio ujitaje sentence moja na Platnumz
 
Ushasema kuna...... lakini sio wewe, hata pogba ni tajiri kuliko mondy ila co wewe wala celebrities wenu wote combined
kweli wewe ni masikini nimeona.., indeed you are., hii ni makosa yako, nakulaumu wewe😂 😂 😂 😂 😂
 
Yaani una nizeesha kwa lazima, I can buy you and your whole clan and take care of your needs mzee, naona uko karibu kufika retire
Kwnn hampendi miaka yenu? Bwana Mapesa naye anajiita dogo, wewe naye unajiita dogo. Wakunya mnapenda utoto ila mkiweka sura zenu zimeparara
 
Yaani wewe mjinga akiwa na pesa ndio basi, I know u are an idiot but not this idiot 😂 😂 😂 😂 😂 😂.., Diamond is older than me just slightly, kama unataka kujua, am not older than him, na hawezi fikia level yangu kamwe, his wealth is quantified na iko kwa public domain, if u wish to know, na siringi.., I love my country Kenya..,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣We unacho mzidi sadala labda maneno🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣na kibri
 
😂😂 Wewe ndio ume prove upumbavu wako leo ati unajiweka kwenye sentence moja na Diamond, we ni chizi nini.? We jamaa wanakupumulia sio bure.. upo humu 24/7 unabishana ujinga eti ndio ujitaje sentence moja na Platnumz
Nope siwezi kujiweka sentensi moja na Diamond kamwe., huyo ako way below na namaanisha kwa uhakika, wewe wacha kulazimisha fikra zako kwangu., 😂😂😂
 
Ila we Fala uhuru wa kujieleza umepitiliza hadi unajitaja mbele ya Diamond ,

unachomzidi Diamond wewe labda ni kujua kiingereza tu, but you and whole your clan ar nothing to him.. he's popular worldwide, Diamond anakaa meza moja na watu wakubwa dunia hii, he's Richer kuliko ukoo wako wote combine your richness together. Ameajiri wapuuzi kama wewe wenye degree tofauti tofauti and he's the CEO .. ametembea karibu dunia nzima yani mwamba ana exposure kuliko mbwa yeyote hapo kwenu kenya pamoja na huyo Kenyatta.. he's popular kuliko mpuuzi yeyote hapo kenya pamoja na hii Africa mashariki.. yani wewe ni mbele ya Platnumz..

Then who is fool.? Wewe au yeye uliefeli maisha.? Duniani hapa huulizwi kujua kingereza brathee, ukiwa na hela then u have everything
Wakunya bhn, ana type kabisa "diamond ni idiot"
JamiiForums-1928760687.jpg
 
Ila we Fala uhuru wa kujieleza umepitiliza hadi unajitaja mbele ya Diamond 😂😂😂,

unachomzidi Diamond wewe labda ni kujua kiingereza tu, but you and whole your clan ar nothing to him.. he's popular worldwide, Diamond anakaa meza moja na watu wakubwa dunia hii, he's Richer kuliko ukoo wako wote combine your richness together. Ameajiri wapuuzi kama wewe wenye degree tofauti tofauti and he's the CEO .. ametembea karibu dunia nzima yani mwamba ana exposure kuliko mbwa yeyote hapo kwenu kenya pamoja na huyo Kenyatta.. he's popular kuliko mpuuzi yeyote hapo kenya pamoja na hii Africa mashariki.. yani wewe ni mbele ya Platnumz..

Then who is fool.? Wewe au yeye uliefeli maisha.? Duniani hapa huulizwi kujua kingereza brathee, ukiwa na hela then u have everything
Aisee 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom