Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ata usi waste tyme na hiki kimwehu. hapa ni kwao tanganyika. kweli nyani haoni kundule

Tandale, hatuna huo ujinga serikali za mitaa zinasimamia kila mtaa labda tz ya miaka ya 90
 
Hiyo barabara haijafunguliwa rasmi sasa sijui mwasho wenu ni wa nini! Secondly, motorists will be required to pay only 360/- at most. How is that a preserve for the rich? Jengeni yenu malazy
Mbulu kengeeee weweeee, hiyo gari hapo juuu inakojoa????
 
just simple question....... hapa ni wapi.!? 👇🏽👇🏽 ni tz ama ke.??
Screenshot_20220429-180444_Chrome.jpg
Screenshot_20220429-180630_Chrome.jpg
 
Mbulu kengeeee weweeee, hiyo gari hapo juuu inakojoa????
Ubaya ni kwamba unapiga kelele ukiwa Tandale wakati mimi nipo Nairobi. Tumia akili zuzu wewe. Hapo hata gari ya Rais Uhuru imewahifika wakati akifanya ukaguzi wa ujenzi kama Rais.

Huenda hiyo ni gari ya mkandarasi akifanya ukaguzi or test drive. Hiyo barabara haijafunguliwa bongolala na kama unajua ishafunguliwa basi tuletee picha za sherehe za ufunguzi tuone.
 
Nairobi 88 iko wapi???😆😆😆
River estate iko wapi???😆😆😆
Ngong road iko wapi???😆😆😆😆
Nairobi Expressway iko wapi?😆😆😆😆

Endelea kutuonesha renders plz👏👏👏
Who remembers this comment?🤣🤣
Today I have the time to answer you.

88 Nairobi
River Estate
Ngong' Road

download (5).jpeg


Nairobi-Expressway-61-720x1080.jpg
 
wacha upumbavu umesema Nairobi haina palm trees i have shown u several! and when they r matured, u will have coconuts!
Me sijawai ona mti ikona coconut Nairobi and those palm tress have been there for years, kwani zita mature after 100 years. 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom