Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,607
- 15,711
Hizi walishakana si za kwao! 😂We soja nimekuuliza kama huku kuna umeme?
![]()
Hizi walishakana si za kwao! 😂We soja nimekuuliza kama huku kuna umeme?
![]()
Na joto lote hilo bado wanalala ndani ya bati? Hivi wakenya nyumba lazima iwe bati? Bati is for roofings onlyTurkana
![]()
Anayeshobokea mwenzie ni nani kati ya Ke na Tz? Sisi tulitangaza national day of mourning kwa sababu Magufuli alikuwa rais madarakani alipofariki. Nyie nanyi kwa kutuheshimu sana mnadeclrare maombolezi kwa jamaa ambaye sio rais, yaani ameshastaafu. Sasa nani anamshobokea mwenzie?Yani mnashangilia kusikia Tz imeweka cku za maombolezo, mbn ninyi mliweka mwezi mzima cjui wiki tatu za kuomboleza Magufuli na wala hatukuwa na mpango na nyie? Wakenya mnatushobokea sn Watz.
So you are comparing Kibera with your middle class estates? 😂 😂
Nimejaribu kutafuta poles za stima me sioni, hata security lights za mulika mwizi hakuna. 🤣 🤣 🤣 🤣 Nani amewai picha za hizi nyumba za Dar usiku? Nikama hawana stima bana.Hizi walishakana si za kwao! 😂
Yeah, somalis own Kenyacan you back up these claims ama zimetoka akilini as always?
Hizo slums zipo CBDSo you are comparing Kibera with your middle class estates? 😂 😂
Just a confirmation, maskini wa kibera anaishi maisha sawa na over 80% of Dar's residents.So you are comparing Kibera with your middle class estates? 😂 😂
Nikome nini?We bado hujakoma![]()
Wewe umeishiwa. Wapi nyumba ya bati hapo bongolala? Ama umekosa jibu kwa hiyo barabara ukaona utafute visingizio? Jipe shuguli nanii...Na joto lote hilo bado wanalala ndani ya bati? Hivi wakenya nyumba lazima iwe bati? Bati is for roofings only
Maskini wa Kibera anatumia LPG kupika, maskini wa Kibera has electricity in his/her house 24/7.Just a confirmation, maskini wa kibera anaishi maisha sawa na over 80% of Dar's residents.
Kibera ipo cbd?Hizo slums zipo CBD
Wakunya wanafikiri ni national holiday 😂😂😂, nawaona mnafurahi utafikiri kipofu kaona mweziAnayeshobokea mwenzie ni nani kati ya Ke na Tz? Sisi tulitangaza national day of mourning kwa sababu Magufuli alikuwa rais madarakani alipofariki. Nyie nanyi kwa kutuheshimu sana mnadeclrare maombolezi kwa jamaa ambaye sio rais, yaani ameshastaafu. Sasa nani anamshobokea mwenzie?
I have asked you to back up your claims bongolala. Usiwe boya saa zoteYeah, somalis own Kenya
Kibera ni CBD? For me I can confidently post this current picture of Dar is slum and claim it's the CBD.Hizo slums zipo CBD
Yeah ipo CBD kabsa, Kibera wanaishi watu million 2, estates zenu zote hata watu laki 3 hawafiki so yes Kibera na slums nyingine ndizo zenye wakazi wengiKibera ipo cbd?