Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hujawajua wanaona wivu wakiona airtanzania inaruka mikoa mingi Tanzania wakati KQ ukiondoa Kisumu hakuna mahali popote KQ inaruka, roho inawauma sana wanavyoona airtanzania inaruka mpaka unpopular regions

KQ bila Kisumu kwisha habari

View attachment 2204589
Is your head okay

images (6).png
 
Rais wa South Africa Cyril Ramaphosa amewasili Kenya kwa ajili ya mazishi ya former president Kibaki. Halafu mang'ombe wanasema kwamba Kibaki hajulikani na Kenya haiheshimiki Afrika.
Kunyaland haijulikani kabisa ni kweli, fuatilia videos za Dada yenu anajiita African tigress anaaibakaga sana akiuliza watu kutoka mataifa ya Africa kama wanaijua kunyaland, katika 10 unakutana na mmoja tu ndio ana idea, wengine hawajawahi hata kusikia neno kunyaland
 
Kwahiyo we nugu unataka kutuambia wamarekani weusi siyo wamarekani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nugu ni nugu tu sasa hapo onyesha kitu cha mtz mwarabu kwenye hivyo vitu ...ukweli unakuhuma ila kubaliana nao tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
They are not native Americans. We all know how they ended up there. That's why they are subjected to racism up to this day and age
 
Kunyaland haijulikani kabisa ni kweli, fuatilia videos za Dada yenu anajiita African tigress anaaibakaga sana akiuliza watu kutoka mataifa ya Africa kama wanaijua kunyaland, katika 10 unakutana na mmoja tu ndio ana idea, wengine hawajawahi hata kusikia neno kunyaland
Such vlogs are all over the internet bongolala. I can bring you hundreds of vloggers from other countries asking the same questions about other countries. Wacha kujifungia hapo Gongo la Mboto, kumekucha!!
 
Such vlogs are all over the internet bongolala. I can bring you hundreds of vloggers from other countries asking the same questions about other countries. Wacha kujifungia hapo Gongo la Mboto, kumekucha!!
Muwashukuru Wasomali ninyi punda wa dobi la sivyo mtapata tabu sana
 
Hao ndivyo walivyo, kila kinachofanywa na nchi Yao ndio sahihi lakini nchi zingine zinazo onekana zinafanya tofauti na Kenya, basi hizo huonekana sio sahihi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Did you follow the genesis of my discussion with Chamoto and what led to all these? It was about the expressway and how you (Tanzanians) were saying that it was meant for the rich while we all know hiyo barabara hata haijaanza kutumika. Unafki peleka Tandale
 
Back
Top Bottom