Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vyote unavyo viona hapo ni mali halali ya watz siyo kama nchi ya kukunya vitu vyote vya maana ni mali ya beberu hata huu uchafu usio na logic wa express way ni mali ya beberu
View attachment 2204493View attachment 2204496
Yani huyo fara aliye wekeza kwenye hiyo express way siange wekeza kwenye daraja la likoni angepiga pesa kama kichaa
View attachment 2204501
Upumbavu kabisa huuukisikia Uhunye ndiyo huu sasa hapa lazima pandora box inahusika
View attachment 2204504
Watanzania halali ni warabu akina Bakhresa na Mo Dewji sivyo?
 
$1.5B ya Mo equals to 1500 millionaires uyu jamaa mtu mzito sana
Hiyo $1.5B ya MO inafunikwa na millionaires watatu kutoka Kenya with more than $500M and above.

Ukiangalia hizi tables utaona wealth distribution between Tanzania and Kenya

$1B+
Kenya = 0
Tanzania = 1


$100M+
Kenya = 15
Tz = 8

$10M+
Kenya = 340
Tz = 80

$1M+
Kenya = 8,500
Tz = 2,400.

$100k+
Kenya = 412,095
Tz = 55,488


tapatalk_1651168656932.png


Screenshot (40).png


Screenshot (34)-1.png
 
Sasa unalia lia nini Simon? Sasa ulikuwa unataka uchumi wenu ubounce back vipi na yule Mungu wenu alikataa kufunga uchumi wenu wakati kila nchi ukanda huu ulifunga uchumi wao? Hivi unajua mwaka wa 2020 uchumi wa Kenya ulishrink by -0.3% wakati uchumi wenu ulikuwa by >4%? Hio 2020 hapa Kenya mashule yalikuwa yamefungwa, biashara nyingi na viwanda vingi vilifungwa na watu kupoteza kazi. Tourism sector ilikufa mwaka huo wote na 90% ya watu kwenye sector hio walipoteza kazi wakati tourism sector yenu ilikuwa inapokea watalii kutoka Russia na Ukraine. Au unadhani sikumbuki mkisherehekea hapa kupokea watalii wengi kutoka Russia na Ukraine? Uganda, Kenya na Rwanda zilifunga uchumi zao na mwaka wa 2021 na 2022 ndio nchi hizi zinafungua uchumi zao na ndio maana unaona zinabounce back, sector ya utalii imeanza kubounce back, viwanda vimeanza kubounce back, mashule yanafunguliwa. Sasa uchumi wenu ulikuwa unataka ubounce back vipi na hamkuwa mumeufunga? Akili kichwani rafiki yangu.
Mbona babu yako alkua shoga na hatujawah kumsema vibaya humu?
Mbona nyanya ako alkua mchawi na hatijasema humu ?
We choko punguza shobo na ancle magu !!
 
Watanzania halali ni warabu akina Bakhresa na Mo Dewji sivyo?
Kwahiyo we nugu unataka kutuambia wamarekani weusi siyo wamarekani nugu ni nugu tu sasa hapo onyesha kitu cha mtz mwarabu kwenye hivyo vitu ...ukweli unakuhuma ila kubaliana nao tu
 
Mbona babu yako alkua shoga na hatujawah kumsema vibaya humu?
Mbona nyanya ako alkua mchawi na hatijasema humu ?
We choko punguza shobo na ancle magu !!
Mungu wako akitajwa kidogo tu unaruka juu futi kumi ni kama umetiwa kidole mk*nduni.
 
Sababu umezoea kuvikalia vitu vigumu basi unahisi kila mtu kazoea ?

Kafffffffr*ne na babako shoga wa kurithi wewe
Hahaha 😂 👍 huwa nafurahi nikiona malazy yanalia kwa hasira. Aliye karibu nawe akupe handkerchief upanguze machozi.
 
Hahaha 😂 👍 huwa nafurahi nikiona malazy yanalia kwa hasira. Aliye karibu nawe akupe handkerchief upanguze machozi.
Pungiza shobo na ancle magu hakuusu chochote kile .....
we endelea kujichekesha na kukatikia mb**o ya baba yako apo mukurukayaba
 
Sawa bongolala if that will please you, ila usisahau there are over 4000 more dollar millionaires in Kenya than Tanzania
Mwambie Nairobi alone has more dollar millionaires than entire Tanzania.
 
Kutoka ndege za ATCL hazitui Geita airport hadi passengers number!

Eti picha ilipigwa siku moja government officials kutembezwa huko!

Yaani unatumia jukwaa la siasa kama source yako kubishana na mimi na huoni ulivyo zero kama hizo zero kwenye ID yako!



View attachment 2204506

Hujawajua wanaona wivu wakiona airtanzania inaruka mikoa mingi Tanzania wakati KQ ukiondoa Kisumu hakuna mahali popote KQ inaruka, roho inawauma sana wanavyoona airtanzania inaruka mpaka unpopular regions

KQ bila Kisumu kwisha habari

Screenshot_20220408-220723.png
 
Kwahiyo we nugu unataka kutuambia wamarekani weusi siyo wamarekani nugu ni nugu tu sasa hapo onyesha kitu cha mtz mwarabu kwenye hivyo vitu ...ukweli unakuhuma ila kubaliana nao tu
Estleigh ambapo 70% ya biashara yote Nairobi hufanyika inamilikiwa na Wasomali 100% ukiwapa huu ukweli mchungu wanakuambia Wasomali ni wakenya 😅😅😅
 
Back
Top Bottom