Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kila primary school ina stima kwa kuanzia , how many pc do you have per student . Programming inataka mda labda mnataka kufundisha variable declaration, looping , conditions kwa theory . Huwezi mfundisha mtoto python halafu anaenda home ana pc wala internet . Japo wazo ni zuri sana . I hope kuwe na shule maalum haswa kuanzia seconda kwa Tanzania kufundisha programming , networking , A.I and so

Kwanza wakuambie one laptop per child ilifikia wapi.

Halafu hivi na hawa watafundishwa coding!
IMG_1375.jpg


Kwa hiyo python itapanda fresh kabisa hapa!
IMG_1374.jpg
 
Mwezi mbaya huo badilisheni mana itafunikwa vby na treni ya umeme
Nenda kalilie chooni. Treni ya umeme tumeingoja leo mwaka wa pili ila hakuna dalili. Hata expressway yetu ilianza just the other day na ndio hii inakamilika
 
Sawa ila habari nishawapa badilisheni mwezi cz itakuwa kama kituko kushangilia flyover mbele ya joka la umeme
That's not a flyover bongolala. It's an elevated expressway, the first of its kind in this region
 
Mkiambiwaga huu mradi ni mkopo huwa mnabisha! Kwa hali hii Mchina hataweza rudisha fedha yake na GoK kama Guarantor itaibidi ilipe plus interest rates n capacity charges!! Endeleeni kuchezwa! I just wish to know kama ambulance na fire rescue zinaruhusiwa kupita free of charge incase of Emergency!
Hii expressway inawauma sana nyie mibongolala as if ni nyinyi ndio mtaigaramikia

Habari ndio hii. Lia sasa

 
Ni urafiki upi wa watu kwa watu strongest kati ya hizi tatu?
1. Wakenya-Watanzania
2. Wakenya-Waganda
3. Waganda-Watanzania
Obviously number 2 ndio strongest.
Sasa uliuliza ya nini kma ulikuw na jibu lako kichwani?
 
Kila primary school ina stima kwa kuanzia , how many pc do you have per student . Programming inataka mda labda mnataka kufundisha variable declaration, looping , conditions kwa theory . Huwezi mfundisha mtoto python halafu anaenda home ana pc wala internet . Japo wazo ni zuri sana . I hope kuwe na shule maalum haswa kuanzia seconda kwa Tanzania kufundisha programming , networking , A.I and so
Nani amekuambia kwamba lazima hawa watoto wafunzwe programming skills advanced sana? Python ni advanced sana, watoto wa college au university ndio wanasoma hio. Hii ni kuwapatia tu basic foundation in programming ili wakifika high school wawe tayari wana basics. Ukumbuke kabla ya kusoma object oriented programming languages kama Java au python mtu kwanza anaanza na simple structured programs kama C##. Ukielewa c## kisha unaweza kusomea c++ kisha sasa mtu asomee java au python. Halafu most of these programming languges hazihitaji internet connection, uwache kudanganya watu humu.
 
Back
Top Bottom