Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,905
- 9,730
Tabia kama za babu zao wa maji maji rebellion.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2200044
Tabia kama za babu zao wa maji maji rebellion.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2200044
Not surprised hata kidogo. Tanzania is known for witchcraft and sorcery[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2200044
Yani kwa akili yao wanadhani barabara ilishafunguliwa? 😂Kumbe Watanzania nyie huwa Wajinga hivi? Hili barabara bado halijafunguliwa na ni hatia kisheria kulitumia kabla halijakamilika. Mtu yeyote akipatikana akitumia barabara hili kabla halijakamilika anatiwa mbaroni.
Halafu naona Simon na The best 007 wamelike comment yako.
Umeamua kunifuata mpaka huku,S
Shubamit, nyinyi mmefika wapi?
Barabara halijfunguliwa bongolala. Save this energy for another day. Siku Itafunguliwa mtajua juu and the month is July this yearSasa itakuaje ? Watalipaje deni la mchina
This Chinese facility is managed by Kenyan.
Mwezi mbaya huo badilisheni mana itafunikwa vby na treni ya umeme [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Barabara halijfunguliwa bongolala. Save this energy for another day. Siku Itafunguliwa mtajua juu and the month is July this year
Hawa jamaa kama hawajaenda shule aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mu7 Tanzania ni nyumbani,na kuwapoteza maboya hawezi kubase wazi wazi kwa Tanzania,nadhani pipeline ingewaamsha kidogo ila mungiki bado mmelala,rais ajaye wa uganda ni half Tanzanian by birth 😀Baada ya haya yote Uganda bado iko close to Kenya kushinda Tanzania. 😂🤣😅
We soja mumeamua hatutajenga hii barabara na amani. Munaokota picha nusu nusu ikiwa under construction just for propaganda.Barabara imechakaa before uzinduzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116]View attachment 2200078
Kila primary school ina stima kwa kuanzia , how many pc do you have per student . Programming inataka mda labda mnataka kufundisha variable declaration, looping , conditions kwa theory . Huwezi mfundisha mtoto python halafu anaenda home ana pc wala internet . Japo wazo ni zuri sana . I hope kuwe na shule maalum haswa kuanzia seconda kwa Tanzania kufundisha programming , networking , A.I and soKuna watu watakosa usingizi wakisoma hili
ungesema haijafunguliwa tu ingetosha na ungeeleweka vizuri tu mkulungwa.Kumbe Watanzania nyie huwa Wajinga hivi? Hili barabara bado halijafunguliwa na ni hatia kisheria kulitumia kabla halijakamilika. Mtu yeyote akipatikana akitumia barabara hili kabla halijakamilika anatiwa mbaroni.
Halafu naona Simon na The best 007 wamelike comment yako.
Sasa unataka kulia?ungesema haijafunguliwa tu ingetosha na ungeeleweka vizuri tu mkulungwa.
Mkiambiwaga huu mradi ni mkopo huwa mnabisha! Kwa hali hii Mchina hataweza rudisha fedha yake na GoK kama Guarantor itaibidi ilipe plus interest rates n capacity charges!! Endeleeni kuchezwa! I just wish to know kama ambulance na fire rescue zinaruhusiwa kupita free of charge incase of Emergency!Kenya Njaaa TupuView attachment 2199731