game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,240
- 26,751
Na PSPF, na Modern Stadium, na BRT na Nyerere bridge, what do u have in Nairobi so far?Wabongolala mnavuvuzela sana na hamna cha kuonyesha isipokua TPA
Na PSPF, na Modern Stadium, na BRT na Nyerere bridge, what do u have in Nairobi so far?Wabongolala mnavuvuzela sana na hamna cha kuonyesha isipokua TPA
Nisawa na kusema nairobi ni beta kuliko marrakesh Au Casablanca lolHahaha Dar inashindana na Mombasa hapo kwa dollar millionaires. ....kweli LDC ni ldc tu
Wacha porojo, hujawahi toka nje ya Kenya wewe.. Eti stendi ya kijitonyama, my foot.Juzi nilikuepo hapo kwenye hiyo stend ya btr hapo kijitonyama nikajionea maajabu,eti hua mnasema dar hukuna vyumba mabati?nilishanga kuona hapo kando ya hiyo stend kuna mabanda yaliojengwa na mabati yaliochakaa
krkrkrkrkrWhat is the use of that hole wanjala
Huo niukweli mkuu,mimi mwana biashara na maeneo yangu sana sana ya kufanyia bishara zangu nikutoka Nairobi,Tarakea kwa wachaga hadi darWacha porojo, hujawahi toka nje ya Kenya wewe.. Eti stendi ya kijiyonyama, my foot.
Hahaha Dar inashindana na Mombasa hapo kwa dollar millionaires. ....kweli LDC ni ldc tu
acha uwongo.......cha kwanza brt haipo kijitonyama ....cha pili kwenye system ama road yote pembeni hakuna vibanda....labda ulikuwa kibera ndotoni kuja kushtuka ukapambana na mabatiJuzi nilikuepo hapo kwenye hiyo stend ya btr hapo kijitonyama nikajionea maajabu,eti hua mnasema dar hukuna vyumba mabati?nilishanga kuona hapo kando ya hiyo stend kuna mabanda yaliojengwa na mabati yaliochakaa
Sio mm niliosema mm naomba official link thats all😀😀😀😀Si ulete link unayo yakupinga
sent from iPhone 7
From PSPF twin towers rooftop by indaressalaam, on Flickr
[emoji12] [emoji12] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mwiziii huyoHuo niukweli mkuu,mimi mwana biashara na maeneo yangu sana sana ya kufanyia bishara zangu nikutoka Nairobi,Tarakea kwa wachaga hadi dar
Utuwai link yako ama utafiti wako basiUkiangalia kwenye media nyng na magazeti mengi huwa yana underrate sana Tz ...hapo kwenye dollar millionares ..watu tupo huku na uhakika hatujahesabiwa ...
Mfano mwngne Knight frank walifanya research ya retail space ya Dar ..ety wakakuta 150,000sqm ...wakati Dar inakimbilia 400k sqm
Shida yenu hampendi ukweliacha uwongo.......cha kwanza brt haipo kijitonyama ....cha pili kwenye system ama road yote pembeni hakuna vibanda....labda ulikuwa kibera ndotoni kuja kushtuka ukapambana na mabati
Sent using Jamii Forums mobile app
Utuwai link yako ama utafiti wako basi
sent from iPhone 7
Sawa weka evidence kwa tableNimefanya utafit mkuu ndo maana nauhakia na ninacho kisema
ukiona mtz anasema amefanya utafiti, jua hakuna ukweli hapo..Sawa weka evidence kwa table
sent from iPhone 7