Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,430
Nairobi
Na mkenya mzee wa kupika data yani munapika mpaka uchumi wenu sijui munamdanganya nani hapo😀😀😀😀😀😀ukiona mtz anasema amefanya utafiti, jua hakuna ukweli hapo..
Juzi nilikuepo hapo kwenye hiyo stend ya btr hapo kijitonyama nikajionea maajabu,eti hua mnasema dar hukuna vyumba mabati?nilishanga kuona hapo kando ya hiyo stend kuna mabanda yaliojengwa na mabati yaliochakaa
kwa hiyo sasa World Bank na IMF ni za wakenya..lol! sababu mi najua ni World Bank na IMF ndio wameweka hizo figures za uchumi wa kenya...huna hoja ww..Na mkenya mzee wa kupika data yani munapika mpaka uchumi wenu sijui munamdanganya nani hapo😀😀😀😀😀😀
Juzi nilikuepo hapo kwenye hiyo stend ya btr hapo kijitonyama nikajionea maajabu,eti hua mnasema dar hukuna vyumba mabati?nilishanga kuona hapo kando ya hiyo stend kuna mabanda yaliojengwa na mabati yaliochakaa
Nisawa na kusema nairobi ni beta kuliko marrakesh Au Casablanca lol
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hiyo sasa World Bank na IMF ni za wakenya..lol! sababu mi najua ni World Bank na IMF ndio wameweka hizo figures za uchumi wa kenya...huna hoja ww..
endelea kulia lia ila soma leboo...yaani a gap of 20 billion now...inabidi muungane na UG ndio mtufikie....GDP of Kenya ni tanzania GDP plus Uganda GDP combined...lol!! no wonder we are EA most advanced country...
View attachment 574973
View attachment 574975
true...these dudes huwa wanashangaza...yaani wanabishana na kitu iko very clear...they are blinded by patriotism...loving their country so much they dont see that it is nowhere near Kenya...Tanzanians always in denial hahaha. ......
Hivi mathare na kibera ipo wapi?shindaneni na Mombasa bana.....mtaenda sare
Kitu cha ajabu hizo vitu wanaita stend hazina viti za abiria kukalia akingoja busi,afadhali hizi bus stop za kwetu sababu zinavitistendi zenyewe (stands) zinanuka mjoko.
Hahahah eti 70 ***** unafkiri 70 mchezokwa hiyo sasa World Bank na IMF ni za wakenya..lol! sababu mi najua ni World Bank na IMF ndio wameweka hizo figures za uchumi wa kenya...huna hoja ww..
endelea kulia lia ila soma leboo...yaani a gap of 20 billion now...inabidi muungane na UG ndio mtufikie....GDP of Kenya ni tanzania GDP plus Uganda GDP combined...lol!! no wonder we are EA most advanced country...
View attachment 574973
View attachment 574975
View attachment 574979
stendi zenyewe (stands) zinanuka mjoko.
usimame kwa stendi kisha kwa basi pia usimame kama ng'ombeEti brt i thought it was something special,nilisimama hadi nikachoka nikigoja basi
Kitu cha ajabu hizo vitu wanaita stend hazina viti za abiria kukalia akingoja busi,afadhali hizi bus stop za kwetu sababu zinaviti
hauna copy???pwahahaha. ....ate waaaatttt. ...
Unaandika hii comment kutokea kwenye banda lako la bati hapo mathare kama kuku wa broiler umeshashiba chai na mkate kama permanent supper na maji machafu lita 7.Kitu cha ajabu hizo vitu wanaita stend hazina viti za abiria kukalia akingoja busi,afadhali hizi bus stop za kwetu sababu zinaviti
usimame kwa stendi kisha kwa basi pia usimame kama ng'ombe
Natuki battle hapa wanata kutunyamazisha na hio brt kila wakatiusimame kwa stendi kisha kwa basi pia usimame kama ng'ombe