Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tukisema Tanzania kuna utapia mlo wananuna
Alafu hawa ndio watu wa kwanza utaskia wakiongelea mambo ya njaa😂😂🤣

tapatalk_1609676598941 (1)_1.jpeg
 
Mimi naona hii battle irudi tu between Dar Vs Nai..Hii kuchongoana venye mtu amevaa ,mara kazi ,tuachane nazo...Tuheshimu kazi za watu...kwa sababu that is what they do to support there life and family...Ikiendelea hivi sasa tunakaa kama watoto ilhali sisi ni watu wazima
 
Mimi naona hii battle irudi tu between Dar Vs Nai..Hii kuchongoana venye mtu amevaa ,mara kazi ,tuachane nazo...Tuheshimu kazi za watu...kwa sababu that is what they do to support there life and family...Ikiendelea hivi sasa tunakaa kama watoto ilhali sisi ni watu wazima
Tulia kwanza nimalize kilio cha mkunya mwenzio, jana kapata kipigo anataka kulazimisha kitu ili ajifariji, tukija kwenye muonekano Wakenya mna muonekano mbaya wenye kukera, ona huyu
JamiiForums500937414.jpg
 
Mimi nimemuambia atuwekee vitu vya maendeleo ambavyo Kenya inaikaribia SA Kama ambavyo GDP onavyokaribia ili tulinganishe pia, tuanze na
1)Viwanda
2)Kilimo
3)Usafirishaji
4) Utalii
5)Reli na Barbara

Ninyi kazi yenu ni GDP ambayo haio ikani inachokifanya, ni maneno tupu. Ukisema upo na pesa, lazima muonekano wako uendane na pesa, Kenya mnapiga kelele za GDP lakina muonekano wa nchi na wananchi ni tofauti kabisaa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Unajua tofauti ya GDP ya $345B na $110B kweli?.., ofcourse kuna tofauti, wewe ungetofautisha pato la viwanda ya SA vs pato la Viwanda ya Kenya, Kilimo, Transport etc.., lazima kuna tofauti ndio maana GDP yao ni $345B na Kenya ni around $110B.., so ni jambo gani unatafuta? ama ulitamani aseme zinalingana ndio upate ya kuandika? hapa ni wivu inakusumbia mzee, hauna lolote la maana zaidi ya wivu na chuki 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Kenya muonekano wa hiyo GDP upo sawa vis a vis population, kuna many factors that can prove it, despite the negatives, ni wewe na inferiority complex yenu mnatafuta tu mapungufu ili kujiliwaza kwa vile mko hovyo kwa hali na mali, muonekano wa Dar, the seat of your economy, outside CBD area kwa upana na ukubwa ni picha ya ufukara na underdevelopment.., na hiyo ndio uso wa taifa🤣😂😂😂
 
Back
Top Bottom