Yaani unashamgaza Sana, kwa ujumla wakenya mnashangaza Sana mnapojilinganisha na nchi zingine kwenye "imaginations" badala ya kujilinganisha kwenye "real/physical achievements.
Ulipaswa utuambua vitu na maendeleo mliyokua mkiyatamani toka South Africa enzi hizo ambapo Kenya hamkuwa nayo, au mlikua nyuma Sana kwa SA ila Sasa hivi mnawakaribia au mumewapita.
Hebu tuambie ni maendeleo gani ambayo Kenya kwa Sasa inaweza kujilinganisha na SA japo kuwakaribia. Mambo pekee ambacho Kenya inafanana na South Afrika ni
1)Crime
2) Tribalism
3)Big percentage of white population
4)Land grabbers
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app