Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya controls Tanzanian economy, another $90M to de injected into Tz economy 😂

View attachment 2188021
sio kenya tu dunia nzima ina inject pesa tanzania unajua kwann?? ni nchi inayojiweza ndio maana wafanya biashara wanachukua risk kuinvest pesa zao hapa wanajua return ipo lakini hawezi kutoka mfanyabiashara akaja kuwekeza kenya kwasababu ni nchi haina mwelekeo kabisa kibishara 😂😂😂 ndio maana leo unaona uchumi, tuskys na nakumatt zimekufa, leo modern coast na yenyewe inahemea pua, viwanda vya cement na sukari vimekufa 😂😂😂
 
Watz wanaenda Kenya kama watalii, Wakenya wanazamia Tz kama cheap labour, and the result is...
Screenshot_20220415-121644.jpg
Screenshot_20220415-110523.jpg
 
Other countries in the region rely on us, munaleta raw materials we convert them to finished goods. We are also the gateway to East and Central Africa, that's why utapata new products from foreign markets hua zina launch in Nairobi first. Alafu distribution to the region happens much later.
Taja bidhaa Moja mnayotuuzia ambayo inatokana na raw materials from Tanzania, we sell more manufactured goods to you than you do to us, prove me wrong
 
Vibrant economy, transformation is evident.

FNOWLfeWUAIz0S2


Slow paced economy. Development is stagnant.
Image
from nairobi CBD to westland and upperhill is 3km 🤣🤣🤣

from dar CBD to kijitonyama almost 15km
unaeza ona tofaut kwann tunasema nairobi inaingia mara tatu kwa dar
 
from nairobi CBD to westland and upperhill is 3km 🤣🤣🤣

from dar CBD to kijitonyama almost 15km
unaeza ona tofaut kwann tunasema nairobi inaingia mara tatu kwa dar
Na utajiri wa Nairobi ni mara tatu Kwa Dar. So that means ukubwa wa Dar umaskini tupu🤣😂
 
Back
Top Bottom