Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

KCB alone can finance Tanzanian budget.😂😂🤣😂
Niliwaambiaga mlete ushahidi wa bank yenu 1 kufinance angalau mradi wenye thamani ya dollars million 50 lakini kimya mpaka leo

Banks zenu hazina tofauti na vikoba huku bongo au saccoss
 
Niliwaambiaga mlete ushahidi wa bank yenu 1 kufinance angalau mradi wenye thamani ya dollars million 50 lakini kimya mpaka leo

Banks zenu hazina tofauti na vikoba huku bongo au saccoss
Kumbe hujui tofauti ya commercial bank na investment bank. Hapo bongo munapata elimu bora kweli?
 
Niliwaambiaga mlete ushahidi wa bank yenu 1 kufinance angalau mradi wenye thamani ya dollars million 50 lakini kimya mpaka leo

Banks zenu hazina tofauti na vikoba huku bongo au saccoss
KCB can finance your full year budget, that's a reality that you can't deny.
 
Kenyan streets are filled with begging Tanzanians from morning to morning the following day.

Wafukuzeni kama ni Watanzania.
IMG_1214.jpg
 
Nilikuwa napoteza muda wangu kukujibu tu. Sasa wewe umenizidi kwenye mambo ya uchumi na biashara. Pia naona unajua mengi kuhusu Al shabab kunishinda. Mahali mimi na wewe tumefikishana ukizingatia kilichofanyika jumapili iliopita sasa nimeamini kwamba mimi na wewe hatuwezi kuzungumza kiungwana tu. Nadhani tumekoseana heshima sana. Kwa hivyo mimi sitajibu message zako tena. Wewe unajua kila kitu na mimi hakuna ninachojua sasa wacha ibaki hivyo.
Jukwaa hili limejaa watu wanaosuffer from Dunning Kruger effect.
Kwahiyo mtu kukuambia kwamba "he is better informed in specific areas ni kukuvunjia heshima?. Hivi lengo la hii forum ni lipi Kama sio kukosoana, kuelimishana na kulumbana?.

Tony 254 you better than this, tunapolumbana na kukosoana, sio lazima mmoja ashinde au ashindwe, malumbano yanaweza kuendelea "endlessly so long as there are new facts to keep discussion going on".pia kumbuka kwamba watu wengi humu wanafuatilia haya mazungumzo ambao wengine wanajua zaidi hiyo mada kuliko Mimi na wewe.

Hii tabia yenu ya kususa mijadala bila kutukwana ni tabia ya watu wasiopenda kukosolewa, kujifunza mambo mapya na wasio na uvumilivu.
 
Kwa hiyo ukaenda kabisa dukani ukawaambia wakupe infinix x657!

Hao ni wakunya wenzako na ndio maana wapo hapo.
Hao ni watanzania wenye wameona hawana future in Tanzania, they have decided to follow money in Kenya.
 
Back
Top Bottom