Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nani amekuambia kwamba walidhoofishwa na Uganda? Wakati Uganda wanaingia Somalia Alshabab ilikuwa inacontrol Somalia nzima. Ilikuwa na nguvu ajabu. Baada ya kufurushwa Mogadishu na kuhamisha makao yao hadi Kismayu, bado Al shabab waliendelea kucontrol maeneo mengine yote ya Somalia isipokuwa Mogadishu. Sasa Uganda wenyewe walikiri kwamba hawawezi kuwafuata Al shabab kila mahali. Kenya iliondoa Al Shabab sio tu Kismayu ila Jubbaland yote. Jubbaland ni mkoa huko Somalia. Somalia ina mikoa minne tu. Mkoa wa Jubbaland ni mkubwa kushinda size ya Rwanda mara nne. Rwanda nne zinaingia ndani ya Jubbaland.
View attachment 2187106View attachment 2187108View attachment 2187109
Tony254, I think I am better informed than you on this area as well, please try to collect as much information as you can before you reply.

Alshabaab walivunjwa nguvu "both militarily, financially and tactically baada ya kutolewa Mogadishu, pale ndio ilikua ni makao makuu ya Alshababs, ni sawa na KDF kupoteza Nairobi, au JWTZ kupoteza Dodoma/Dodoma, hayo majiji ndio "Commanding centres", Kismayu Alshabab hawakua wamajijenga Kama walivyojijenga Mogadishu kwa muda mrefu, ndio sababu KDF hawakukutana na upinzani wowote wakati wanaingia Kismayu.
 
Nimeuliza picha za basi zikiwa Tabora, sijauliza shirika linalotoka Tabora.
Hay weka nawew basi hilo Bus la Kwale na stand yake kama ulivyodai
Screenshot_20220414-201900.jpg


Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Thank you DRC for accepting Kenyan companies. Tanzania pia ilianza tu hivi, right now control their economy😂😂

 
Back
Top Bottom