Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

"Kula sawa na urefu wa kamba yako"
Mil789÷68= 11 m

Take time to scratch your mind👇

393819643.jpg
 
Thank you Mama Samai, we are going to turn this country upside down😂😂
Naivas
QuickMart
Clean shelf
Tumaini
Woolmart


Atleast wapate Quality supermarkets kama Naivas na Quickmart. Hizo supermarkets wakonazo bongo ni jokes tupu.
 
Du Kweli Wakenya Mmejawa Utoto na Ujinga
Umeomba linalokwenda Tabora
Umepewa Bado Unahoji!!
Nikufahamisha NBS Makao yake makuu ni Tabora mmiliki Wa Kampunia Hiyo Yupo Tabora
Kweli mkuu,Huyu jamaa mwenye hii kampuni yupo hapa Tabora,na ndio anaongoza kwa mabasi mengi.
 
Kenyan engineers have also been allowed to come and work in Tanzania, expect more buildings and infrastructures in Tz to be designed Kenyan. I'm also seeing most tenders in Tz being handled by Kenyans companies😂😂

 
The longest dual carriageway ring road in East and Central Africa. 💪

Image
leta total distance na usiongope! Dodoma ring road U/C is +110 km!
 
leta total distance na usiongope! Dodoma ring road U/C is +110 km!
Kama kawaida nyinyi ni watu wa under construction for the next ten years. 🤣 🤣 🤣 Munapenda kua nyuma yetu trying to break our records.
 
Back
Top Bottom