Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Watu hizi fedha wanazitafuna kuzitafuna na hupati mkopo bila koneksheni na ukifanikiwa kupata mkopo lazima umpe aslimia kadhaa kwa aliye fanikisha zoezi kaz kweli kweli
Ndio Ujue Shida IpoWatu wana mioyo sana.
Halafu ili uone yeye mwenyewe hayupo proud na simu yake, tayari amehariri comment yake na kuondoa maneno ya infinix x657.![]()
Watu hizi fedha wanazitafuna kuzitafuna na hupati mkopo bila koneksheni na ukifanikiwa kupata mkopo lazima umpe aslimia kadhaa kwa aliye fanikisha zoezi kaz kweli kweli
Alizalisha jina liitwalo VASCO DAGAMAMkuu unajua kwamba Kitendo cha Magufuli kuzuia safari za nje na yeye mwenyewe kutosafiri hovyo ndio chimbuko la ununuzi wa ndege za ATCL?, Je safari za Kikwete zilizaa kitu gani ambacho Leo watanzania tunaweza kujivunia?




Alafu ukiangalia vizuri uganda wameendelea vizuri kuwashinda...wamejenga barabara nzuri sana...i was really shocked about uganda when i decided to investigate on there infrastructure..wameeendelea sana..hawa wengine nimegundua ni kelele mingi ndio maana wanaonekana wako juu lakini ukifuatilizia bure kabisa..uganda wako na ma interchanges mingi sana..hawa sijui wako na nne ama sijui tatu..
Ndio Ujue Shida Ipo
Ndio Wakwanza Humu Kuweka Pesa



😁😁😁😁😁 Afu utasikia Jiwe alidhibiti Rushwa..Kazi Tunayo kwa sasa Nchi hii Sijui huko Tuendako
NimtihaniTajiri anatumia infinix x657!
Siku tuweke challenge ya kupost simu humu tuone ''wafalme wa umasikini'' tunao biahana nao humu.
Mimi mwenyewe nilishtuka..wanaeza pelekana na nairobi kwenye flyover ingekua expressway haipo..ni venye expressway imetuokoa apa..lakini uganda inakuja kwa speed ya hatari kwenye ujenzi wa barabara..alafu hao ni kimya kimya..Huu ni ukweli mchungu aisee.Look at what interchange they are constructing👇
View attachment 2187561
View attachment 2187562
View attachment 2187563
Nionyeshe moja linaloenda Tabora nikuonyeshe la kwale. 🤣 🤣Mbona nmejieleza vzur tu hpo
Au nisikusumbue tuonyeshe Bus linalokwenda Kwale
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Watu hizi fedha wanazitafuna kuzitafuna na hupati mkopo bila koneksheni na ukifanikiwa kupata mkopo lazima umpe aslimia kadhaa kwa aliye fanikisha zoezi kaz kweli kweli
Acha pesa isambae mitahaniKazi Tunayo kwa sasa Nchi hii Sijui huko Tuendako
Haya zamu yako sas kuonyesha linalokwenda KwaleNionyeshe moja linaloenda Tabora nikuonyeshe la kwale.![]()
![]()

Mbona umetuma moja? Halafu nimeuliza Tabora unatuma ya Dar?Haya zamu yako sas kuonyesha linalokwenda KwaleView attachment 2187584View attachment 2187585
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
NBS ni kampuni ya Tabora kama hujuiMbona umetuma moja? Halafu nimeuliza Tabora unatuma ya Dar?
yani Hilo Bus linatoka tabora linakwenda dar
Haya zamu yako sas kuonyesha linalokwenda KwaleView attachment 2187584View attachment 2187585
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Hiko cha juu ni kitu ganNa uwache maswali za kipuzi, hii hapa inaenda kwale. Unadhani every posh bus ni ya kuenda Mombasa. Hata hio ENA Coach mpya sio ya Mombasa ni ya sirare.
![]()
![]()
