Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

assistant slums capital of Nairobi

View attachment 2187111
Mombasa imeshinda Dar mara mia 🤣 😂 😂 😂 90% of Dar👇 👇 ama utabisha?.., am very free😂😂😂
1649935332077.png

1649935351858.png
 
Punguza nipasho weka data kama hii ewe fukara

View attachment 2187095

Tangu hii report ya world bank ni muujiza gani imefanyika kuakomboa kwa vile hali imezorota sana., baada ya hapa COVID-19, iliingia, vyuma vilikua vimekaza, sasa ni Russia war.., mifukara wanakula ngumu.., so mko worse zaidi.., hapa hamtoki Karne hii, vumilia kaka., 😄😜😂😂😂
JamiiForums1552698300.jpg
 
Tangu hii report ya world bank ni muujiza gani imefanyika kuakomboa kwa vile hali imezorota sana., baada ya hapa COVID-19, iliingia, vyuma vilikua vimekaza, sasa ni Russia war.., mifukara wanakula ngumu.., so mko worse zaidi.., hapa hamtoki Karne hii, vumilia kaka., 😄😜😂😂😂
View attachment 2187227
Huku Karen kumekuwa kwa moto? 😂😂😂😂

2022-2-22_5-23-17.PNG
 
Tangu hii report ya world bank ni muujiza gani imefanyika kuakomboa kwa vile hali imezorota sana., baada ya hapa COVID-19, iliingia, vyuma vilikua vimekaza, sasa ni Russia war.., mifukara wanakula ngumu.., so mko worse zaidi.., hapa hamtoki Karne hii, vumilia kaka., 😄😜😂😂😂
View attachment 2187227
Kabla hamjadouble population yenu ya mafukara mlikua tayari mmetupiga gap siku nyingi 🙆

Screenshot_20220125-221624.png
 
Tangu hii report ya world bank ni muujiza gani imefanyika kuakomboa kwa vile hali imezorota sana., baada ya hapa COVID-19, iliingia, vyuma vilikua vimekaza, sasa ni Russia war.., mifukara wanakula ngumu.., so mko worse zaidi.., hapa hamtoki Karne hii, vumilia kaka., 😄😜😂😂😂
View attachment 2187227
Majirani..Kindly note the word ''Extremely Poor''...Which means nyinyi ni moja wapo wa mafukara wa kutupwa...i wonder where do you people have the audacity to call kenya poor...Kuwa maskini si hatia ama Makosa lakini makosa ni nyinyi ni maskini ilhali mko na Mali lakini mumetajwa kama mafukara wa kutupwa....hakuna ata ukame ambayo inawasumbua..The problem is poor governance ..
 
Majirani..Kindly note the word ''Extremely Poor''...Which means nyinyi ni moja wapo wa mafukara wa kutupwa...i wonder where do you people have the audacity to call kenya poor...
Alafu ongezea matatizo yenye imekumba dunia yote, lazima idadi hii imeongezeka, na vile uchumi wa Tanzania ni hafifu sana, mifukara inapata tabu na wa kutupwa lazima number imeongezeka mara dufu.., economic factors didn't remain constant na hazi ku improve whatsoever, it went negative na ime worsen.., just imagine!!, balaa 😂 😂 😂
 
Alafu ongezea matatizo yenye imekumba dunia yote, lazima idadi hii imeongezeka, na vile uchumi wa Tanzania ni hafifu sana, mifukara inapata tabu na wa kutupwa lazima number imeongezeka mara dufu.., economic factors didn't remain constant na hazi ku improve whatsoever, it went negative na ime worsen.., just imagine!!, balaa 😂 😂 😂
Alafu ukiangalia vizuri uganda wameendelea vizuri kuwashinda...wamejenga barabara nzuri sana...i was really shocked about uganda when i decided to investigate on there infrastructure..wameeendelea sana..hawa wengine nimegundua ni kelele mingi ndio maana wanaonekana wako juu lakini ukifuatilizia bure kabisa..uganda wako na ma interchanges mingi sana..hawa sijui wako na nne ama sijui tatu..









 
Tunapiga Afrika kwenye mbio ndefu. Sasa tunapiga Afrika yote kwenye mbio fupi? Nikiita Waafrika wengine malazy nitakuwa nimekosea?
 
Nimejaribu kutafuta tarmac roads mitaa ya Dar lakini wapi.., yaani 80% of Dar is not tarmacked!!.., link ya google earth hii hapa Google Earth am zooming left right centre lakini wapi 🤣 😂 😂 😂 😂 .., yaani Tz ni ka CBD tu na mitaa chache ya matajiri., the rest ni utopolo tu!!., watu wa domo domo..,
1649937865560.png

1649937916616.png

1649937940329.png
 
Hakuna mtanzania anaeifatilia Kenya kwa kiwango hicho, tena miaka hiyo ya 80s hata redio tu ilikua issue sasa nani angejua kilichokua kinaendelea huko kwenu kwa mapana hayo mpaka kutohoa maneno huko kwenye scandal?

Usiforce kitu kisichokuepo, ninyi ndio kucha kutwa kuhangaika kuongea kama Watanzania, wanamuziki wetu wana waassimilate kwa kasi ya ajabu, saivi ili uonekane mjanja Nairobi unatakiwa uwe na swags za kibongo
Kwanza miaka hiyo Kenya watoe wapi noti ya 500. Hapo ndipo nawashangaa hawa watu.
 
Back
Top Bottom