Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

utalii former leading foreign exchange earner for the country haiihitaji revamp?
Sio hivi lakini, mabalozi wetu wakishirikiana na wizara ya Utalii wanatosha Sana, mbona juzi tu alikuwepo "Dubai Expo" ambako alitangaza Utalii vizuri tu, kabla ya hapo alikua France, Belgium?

Mkuu, kiongozi wa nchi hapaswi kuzunguka hovyo kiasi hiki, Sasa ndani ya miezi 3 ya mwanzo ya mwaka huu pekee ameshatembelea zaidi ya nchi 5.
 
Hili Tanzanians can't grasp.., Kenya is on another level, despite the challenges we ain't equals with Tz.., hapa it is too obvious, kuna many factors I can outline between the two countries kuonyesha Tz is way below..,
Wacha kujidanganya na kujifurahisha, Kenya is a "Failed state" Dunia nzima inajua
 
atakuwa na activities nyingi si hiyo tu!
Mkuu activities nyingi zipo hapa nchini kuliko huko nje, mkuu nikiangalia kazi za rais zilivyonyingi hapa nchini, na gharama tunazotumia kulipia ofisi za balozi zetu huko nje, sioni sababu yoyote Ile kwa rais kusafiri kiasi hiki, Sasa atawezaje kuzuia maafisa wengine wa serikali kutunga safari za nje hovyo hovyo?,
 
Sio hivi lakini, mabalozi wetu wakishirikiana na wizara ya Utalii wanatosha Sana, mbona juzi tu alikuwepo "Dubai Expo" ambako alitangaza Utalii vizuri tu, kabla ya hapo alikua France, Belgium?

Mkuu, kiongozi wa nchi hapaswi kuzinguka hovyo kiasi hiki, Sasa ndani ya miezi 3 ya mwanzo ya mwaka huu pekee ameshatembelea zaidi ya nchi 5.
waziri wa Utalii si katolewa huyu aliyepo mpya? 😀😀

Kwa sasa ni hili..#Mamayupokazini#
 
waziri wa Utalii si katolewa huyu aliyepo mpya? 😀😀
Wizara ya Utalii Kuna kitengo kizuri Sana cha kutangaza utalii, haijalishi waziri gani yupo ofisini.

Tanzania tunasisitiza diplomasia ya uchumi, kwamba balozi yeyote atapimwa kulingana na utendaji wake katika eneo Hilo la kuvutia watalii na uwekezaji, tena huko USA ndio tumewekeza nguvu kubwa Sana.

Hapaswi kuzunguka Sana, huku nyuma watu watajisahahu Sana, bahati mbaya hata makamu wa rais pia ni mpole Sana, watu hawaogopi tena, binadamu bila kuogopa serikali hawafanyi kazi ipasavyo
 
Wizara ya Utalii Kuna kitengo kizuri Sana cha kutangaza utalii, haijalishi waziri gani yupo ofosini.

Tanzania tunasisitiza diplomasia ya uchumi, kwamba balozi yeyote atapimwa kulingana na utendaji wake katika eneo Hilo la kuvutia watalii na uwekezaji, tena huko USA ndio tumewekeza nguvu kubwa Sana.

Hapaswi kuzunguka Sana, huku nyuma watu watajisahahu Sana, bahati mbaya hata makamu wa rais pia ni mpole Sana, watu hawaogopi tena, binadamu bila kuogopa serikali hawafanyi kazi ipadavyo
Huyo Rais ni bomu la kitaifa linalosubiri kulipuka mda c mrefu, na usidhani hao wanaomtetea hawajui hilo, la hasha, wanajua fika kwamba huyo mama hajui anachokifanya, sema tu kuna ule ushindani wa kitoto wa kuhakikisha Magu hapati heshima yake, huyo mama kwake yeye ni bora siku imeisha miaka isonge akashangae shangae duniani mda wake uishe aandike kitabu naye alikuwa Rais but kusema ana malengo aliyojiwekea utakuwa ni uongo mkubwa sana.
 
Wewe umeidharau Kenya sana. Unataka billboard tu? Sisi tuna hadi TV kubwa kwenye stadium. Hivi unajua kwamba Kenya ndio nchi ya kwanza barani Afrika kuhost world athletics championships under 18 na under 20? Wanariadha chipukizi kutoka kila kona la dunia walikuja Nairobi kwa mashindano?
View attachment 2186899

View attachment 2186900
View attachment 2186902
Simaanishi hizo nazungumzia LED billboards around the pitch. Kama hizo hapo chini.
View attachment 2186969
 


watu juzi hapa wametwaa Kismayo yenye miaka 30 bila serikali wanajitapa! Oooh God forbid...!🤭🤭🤭

Kismayu ilikuwa makao makuu ya Al Shabab tangu wafurushwe kutoka Mogadishu na Jeshi la Uganda. Walipofurushwa walihamisha makao yao hadi Kismayu.
 
Hahaha ukiona meli zenyewe zinakataa kuberth Dar port and they decide to offload their cargo at Mombasa port for onward transhipment hapo ndio unajua their port is completely bogus. Kwanza hio MSC shipping line imekataa kabisa kupanga foleni hapo Dar port. Wao hawana muda wa kupoteza.
Huu mwezi pekee containers za malazy 7,984 zimemwagwa Mombasa port.
View attachment 2186838
Hivi karibuni Lamu port itaanza kuhudumia Dar[emoji23]
 
waziri wa Utalii si katolewa huyu aliyepo mpya? 😀😀

Kwa sasa ni hili..#Mamayupokazini#
Mkuu unajua kwamba Kitendo cha Magufuli kuzuia safari za nje na yeye mwenyewe kutosafiri hovyo ndio chimbuko la ununuzi wa ndege za ATCL?, Je safari za Kikwete zilizaa kitu gani ambacho Leo watanzania tunaweza kujivunia?
 
Kismayu ilikuwa makao makuu ya Al Shabab tangu wafurushwe kutoka Mogadishu na Jeshi la Uganda. Walipofurushwa walihamisha makao yao hadi Kismayu.
Sasa Kama Uganda waliweza kuwafurusha Mogadishu hawajisifu, vipi ninyi mnajisifu kuwafurusha Kismayu tayari wameshadhoofishwa na Jeshi la Uganda?
 
Haukwepi, ya Kenya huwa wazi siku zote na tunalijua sana, ila Tanzania ni balaa, yaani ukiangalia deni ongeza na budget yenu, alafu utazame hiyo uchumi wenu hafifu, yaani pato kwa mwaka ni aibu kwa nchi kubwa ya idadi kubwa ya watu.., ufukara on display, you are LDC for sure, hamujiwezi!!!.., mtu ako na watoto wengi, mahitaji mengi na mshahara kidogo..., ufukara, Tanzania is fundamentally poor, which is a mindset, yaani ujinga tupu., hamfai kukuwa vile kabisa, hamuna any reason whatsoever, so ni ujinga wenu tu.

70% mpo mafukara halafu unakuja kutufundisha nini

IMG_1084.jpg
 
Two week visit?, Mkuu hii sio sawa, ni miezi michache iliyopita alikua hukohuko USA, mkuu nadhani amezidisha Sana muda wa kusafiri, kipindi hiki Kuna Mambo mengi Sana hapa nchini yanahitaji usimamizi wa rais
Hujui kukaa nje week mbili huko USA ni "kujenga democrasia ya uchumi"😄.. hakika anaupiga mwingi hadi unamwagika
 
Mkuu unajua kwamba Kitendo cha Magufuli kuzuia safari za nje na yeye mwenyewe kutosafiri hovyo ndio chimbuko la ununuzi wa ndege za ATCL?, Je safari za Kikwete zilizaa kitu gani ambacho Leo watanzania tunaweza kujivunia?
Najua concern yako ila nangoja kuona mbali na Royal Tour, nn zaidi kinachompeleka, kama aki-sign mega deals, sina tatizo! Isije ikawa kuna makubaliano ya LNG mie nibaki nikikufuru!
 
Sikiliza, kwasasa Tanzania tunaongoza tunaongoza katika miradi mingi inayotumia pesa za ndani, chukua miradi miwili pekee,
1)Ujenzi wa bwawa la umeme $3B
2) Ununuzi wa ndege 15 za ATCL $2.2B

Jumla $5.2B

Kenya + Uganda +Rwanda kwa pamoja hamuwezi fikia hiyo pesa
LAPSSET cost is bigger than the cost of all Tanzanian projects combined.
 
Back
Top Bottom