Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimejaribu kutafuta tarmac roads mitaa ya Dar lakini wapi.., yaani 80% of Dar is not tarmacked!!.., link ya google earth hii hapa Google Earth am zooming left right centre lakini wapi 🤣 😂 😂 😂 😂 .., yaani Tz ni ka CBD tu na mitaa chache ya matajiri., the rest ni utopolo tu!!., watu wa domo domo..,
View attachment 2187256
View attachment 2187257
View attachment 2187258
Kama hata gated communities hakuna, barabara ya lami watatoa wapi. Dar ni kiwanja kubwa sana ya vinyumba bila mpangilio.
 
Then when one alights from dala dala, wengi wa wakazi wa Dar wanapita panya routes kufika nyumba zao.., gari haiwezi pita ndani ni corridors tu., saw these many years back, bado haija change in 2022.., huu upuzi msipeleke Dodoma.., Mwanza pia ilichemsha..,
1649938455524.png

1649938466534.png

1649938477512.png
 
Dar is just 10 to 15km squared pekee ndio wao hupost hapa. Hio area ingine yote ni uswazi tupu.
This I noticed many years back tayari nilisha waambia humu, wakakasirika wakamwaga angles zote za picha ya Kibera kujiliwaza 🤣 🤣 😂 😂 😂
 
This I noticed many years back tayari nilisha waambia humu, wakakasirika wakamwaga angles zote za picha ya Kibera kujiliwaza 🤣 🤣 😂 😂 😂
Hawana content. Ile construction boom time ya TPA na PSPF ndio iliwachocha wanaweza compete na Nairobi. After hio bubble iliburst wamebaki wakijiconsole hapa while construction boom ya Nairobi inaendelea at a fast pace. Hii thread ikianza over 5 years ago our 5th CBD, Mombasa road bado ilikua at infancy stage, sahii the growth is on steroids.

Image
 
Mbona Wakenya Mlipo Humu JF saivi Ni Vilaza hivyo!!

Kaitaba Mpira Unachezwa Usiku na Kuna Nyasi Bandia
Amani Mpira Unachezwa Usiku na Kuna Nyasi Bandia
Hizo picha Umezitoa Wapi!!
Haya, tuwekee picha halisi za hizo viwanja kama nimedanganya.🙂🙂
 
Hakuna mtanzania anaeifatilia Kenya kwa kiwango hicho, tena miaka hiyo ya 80s hata redio tu ilikua issue sasa nani angejua kilichokua kinaendelea huko kwenu kwa mapana hayo mpaka kutohoa maneno huko kwenye scandal?

Usiforce kitu kisichokuepo, ninyi ndio kucha kutwa kuhangaika kuongea kama Watanzania, wanamuziki wetu wana waassimilate kwa kasi ya ajabu, saivi ili uonekane mjanja Nairobi unatakiwa uwe na swags za kibongo 😅😅😅
aa wapi.!? swagg za kibongo mshipa.!! infact kenyans stereotype bongolalas as lazy, unlearned, laidback, anti-tech savvy, can't comm in english, not affluent and wealthy, minimal middle class <0.5%, poor housing throughout tz, witchcraft hub, dar not an intl' city, saangapi tuna iga swagg za kibongo.
 
Back
Top Bottom