Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Huyu Mkenya humjui?Siku ukinithibitishia kwamba Obama ni mkenya basi ndio siku naachana na jamii Forums![]()
Huyu Mkenya humjui?Siku ukinithibitishia kwamba Obama ni mkenya basi ndio siku naachana na jamii Forums![]()
Makumbusho, Kilimani ya Dar barabara ni za mchanga, haziko paved, vibanda ziko kila mahali. Ukitaka kujua uhalisia halisi wa Dar is a slum na miji ya bongo, cheki video za huyu jamaa. Unbiased and honest opinion from a neutral perspective. Anaonyesha kila kitu bila kuficha. Oooohhh na hizo gari zenu mzee bado zimejaa kwa hii video pia. 🤣🤣🤣🤣
Wapi pameandikwa Barack Obama ni mkenya?
Achana na matatu, weka personal cars tuone.Gari za Nairobi ni hizi huna la kutuaminisha hapa!
Huu ni uchafu wa jalalani
View attachment 2183577
View attachment 2183578
View attachment 2183579
Matatu sio gari? 😅😅😅😅Achana na matatu, weka personal cars tuone.
Sasa kuanzia leo jua kwamba yeye ni mbegu ya Mkenya. Kama Kenya haingekuwepo nayo hii mbegu haingekuwepo.Wapi pameandikwa Barack Obama ni mkenya?
Matatu zenu pia ni ovyo. Hamna tofauti. Heri Burundi.Matatu sio gari? 😅😅😅😅
Kwenye gari kajilinganisheni na Burundi
Wako ligi moja na Nigeria 🤣🤣🤣🤣
Mkuu tunayo akiba kubwa Sana ya chakula, Bei zitapanda kidogo lakini hatuwezi kukumbwa na njaa Kama hawa wajinga, kwao iwe jua iwe mvua njaa na vifo vipo palepaleMkuu hili sio la kushangilia,Tzn na sisi mvua imenyesha lakini imekata mapema wakati Mazao hayajakomaa kwa hiyo yatakauka..
Posts zenye maudhui Kama haya, wakenya hawana mchango wowote, wao kwao muhimu ni malls, Konza city, skyscrapers, high ways na number of millionaires, hovyo Sana hawa jamaaIn another case ..inabidi tuanze kujiandaa kama taifa hasa kuongeza irrigation schemes ..ili wakati wa Kiangazi au Ukame taifa liweze ku withstand shida ya ukame kwa kutumia reserve ya maji..hata maji taka ...ya majumbani
.sio viwandani...ili kufanya irrigation
Najua linafanyiwa kazi..but maybe we can spwed it up nakuongeza scheme nying zaidi ..hasa kwenye mazao kama mpunga
Picha ya zamani sn hii, hizi gari Isuzu journey zimebaki chache mno barabarani, ofcz ni Dar ya 90 hii.
You must ask your leaders to come up with programs of irrigations and water availability to those areas affected by chronic draught, stop endless excusesDon't just answer questions for the sake of answering. Nimewauliza how is economy contributing to the availability of rain?
Akijibu nijulishe, ninaenda msalaniTukuulize wewe je ushajua kwamba kwa sasa duniani kuna huduma ya brain surgery without opening the skull?![]()




Ukimtajia brain surgery tu basi anakimbia, yn Jamaa anaumizwa sn na Tz kuliko kawaidaAkijibu nijulishe, ninaenda msalani![]()






Unalinganisha gari zilizotengenezwa kubeba abiria na gari za kubeba mawe? 🤣🤣🤣🤣
This procedure is very new in the world, not only in Africa, kwahiyo Kenya mliifanya kabla haijagunduliwa?But you are doing what Kenya did long time ago




Mbona munauziwa gari ikona 20years in this era?Unalinganisha gari zilizotengenezwa kubeba abiria na gari za kubeba mawe? 🤣🤣🤣🤣
View attachment 2183704
View attachment 2183705
View attachment 2183706
View attachment 2183707
View attachment 2183709
Yani KAT na KBW, gari za kitambo Sana. We do not import 8 year old cars like you.Unalinganisha gari zilizotengenezwa kubeba abiria na gari za kubeba mawe? 🤣🤣🤣🤣
View attachment 2183704
View attachment 2183705
View attachment 2183706
View attachment 2183707
View attachment 2183709
Hata kuijua hakuwa anaijua.This procedure is very new in the world, not only in Africa, kwahiyo Kenya mliifanya kabla haijagunduliwa?![]()