Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sawa jobless chukua like hiyo,naona hueleweki

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Usiyempenda Kaja 👇

Screenshot_20220406-152443.png
 
Naona kile kipande korofi cha SGR phase 1 kutoka Pugu hadi Mjini kinafanyiwa kazi zile overpasses tatu, njia panda ya majumba sita, airport na vingunguti inaonekana watu wameshalipwa fidia maana baadhi yao wameanza kuvunja nyumba zao!Kuna vitu vinakuja, I will keep posting!.
Safi sana. Kazi nzuri ya serikali, vitu kama hivi ndivyo vinatufanya tushinde mkuu. Usiache kutupa update mkuu hata sisi tulioko huku kijijini nini kinaendelea.
 
Justinr Pitia hapa kuhusu flyover mbili mbezi
Hapa imekaa vizuri.

Hivi mkuu pale Chalinze watapatengenezaje baada ya kujenga zile njia 4, itakuwa flyover,underpasses ama round about kama iliyopo?

Mji unakua magari yatakuwa mengi ndani ya miaka michache baada ya kujenga kitu cha muda mfupi ni bora plan iwe ya muda mrefu.

Kwa utaalam wenu na ushauri mnashauri vipi maana kuna vitu huwa mnaviongea vinafanyiwa kazi kupitia mawazo yenu.

Naomba kuwasilisha.
 
70% of ABB Tanelec shares. Get that in your head ABB is minority shareholder.
Did you attend any school really?[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]

How can a minority shareholders claim the name of the main company? For your information, Tanelec is just the short form of ABB Tanelec [emoji23][emoji23][emoji1787]
Screenshot_20220406-171402.jpg
 
Safi sana. Kazi nzuri ya serikali, vitu kama hivi ndivyo vinatufanya tushinde mkuu. Usiache kutupa update mkuu hata sisi tulioko huku kijijini nini kinaendelea.
Nimeandika haraka haraka hadi nimekosea, vitu kama hivi ndivyo vinatufanya tuwe tunashinda humu kujua nini kinaendelea, usiache kutupa updates mkuu hata sisi tulioko huku kijijini tujue nini kinaendelea. Hapa ni zaidi ya habari unahabarishwa na kuelimishwa. Kazi nzuri sana mkuu.
 
Did you attend any school really?[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]

How can a minority shareholders claim the name of the main company? For your information, Tanelec is just the short form of ABB Tanelec [emoji23][emoji23][emoji1787]View attachment 2177996
tell them even the Tanzania parliament was designed by Kenyan architects!!!!!!
 
Hahahaha kodi ya mafuta ni kubwa Kenya mara 3 ya Tanzania, umeme mara 3 ya Tanzania, internet mara 3 ya Tanzania, maji mara 5 ya Tanzania, each product mnapigwa kodi mara 3 mpaka 6 ya Tanzania na bado mnachokusanya 80% kinaenda kulipa mikopo na kulipa mishahara 😅😅😅😅

You know just because you say it loudly doesn't make it true.

Saa ii petrol Kenya ni KSh130. Tanzania mmepandishiwa mpaka Ksh150.

Mimi hutembea TZ mara mingi, na yes, ni kweli bidhaa ni ghali Kenya. But only by a few Shillings. Punguza bangi.

VAT ya Kenya ni 18% ya Tanzania ni 18%. Hesabu mbovu ya bongolala inakuonyesha hio ni mara tatu?
 
Back
Top Bottom